***Euro2008***

Two Teams One Cup, One Final, One Night
Spanish flair vs German efficiency

I will go for efficiency, and thats what we cant buy at Arsenal, you know what am talking about! Leo ni kama Arsenal Vs Chelsea ya Mourinho!
 


Less than 50 minutes and counting... ...
 
I will go for efficiency, and thats what we cant buy at Arsenal, you know what am talking about! Leo ni kama Arsenal Vs Chelsea ya Mourinho!

kati ya efficiency na flair I think I'd go with Efficiency maana historia inaonyesha timu nyingi zenye flair huwa zinakwama somewhere.....
mfano mzuri ni Euro 96 Germany vs Czech
 
Naam, hamna kisingizio tena wakichapwa bao kwamba walimkosa nyota wao katika fainali.

Mhh?? yasije yakawa yale ya Ronaldo na France 98, unakumbuka? Jamaa alikuwa mgonjwa lakini wakamforce acheze na matokeo yake wakapigwa bao kama wamesimama.
 
I will go for efficiency, and thats what we cant buy at Arsenal, you know what am talking about! Leo ni kama Arsenal Vs Chelsea ya Mourinho!

But we were so close, also you should take into consideration of key injuries to some of the key players and....biased referees....🙁. In my opinion if Adebayor will stick around for at least one more year, then there is a possibility this will be ARSENAL'S YEAR...🙂
 
Here we go.

Teams:



Germany captain Michael Ballack and Arsenal midfielder Cesc Fabregas will both start the Euro 2008 final.



Referee: Roberto Rosetti (Italy)
 
Goal.... ..... Spain 1 Torres


33' (Minutes) Xavi on the ball as Spain break again, he slips it through to Torres but it's just ahead of him but he somehow gets past Lahm as Lehmann comes out and Torres gets a touch and it goes over Lehmann and trickles in! 1-0 to Spain! Great finish, but did Torres tug back Lahm to get goal-side of him? Hmmm, a tough one.
 
mambo yakienda hivi sherehe yangu itakuwa haijaadhirika sana.
 
Ballack is bleeding ... ....receiving treatment off the pitch
 
Ballack baada ya kuumia jichoni haino tena maskini Wajerumani, vibonde ni vibonde tu.
 
Ballack yellow carded, I think he is losing it now .. Spain is playing good game and Germany is frustrated ....... Half time.
 
I am still hoping for deutschland to change the wind direction in the second half. España energy is salted by the support from Viennese fans who (the latter) are traditional Deutschland rivals.
 
Winger ya kushoto na kiungo aliyevaa namba 6 wameinyima magoli Spain, i can't understand why wanapata kugugumizi kupiga mipira eti mpaka wazunguke ili wapige kwa mguu wa kulia why? wewe ucheze kushoto halafu hutumii mguu wa kuishoto. wanaharibu uzuri wa mchezo.
 


He should have scored at least two more goals, but the Spanish are in for it and they look for more goals.
 
...kuna dalili hii Tv nitaizima kwa maji leo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…