***Euro2008***

Azzuri mtatoka vichwa vimeinamia chini jamani, hasa siku ya fainali mtakapo kutana na mwamba ex-mkoloni wa tanganyika

mama
yaani tusubiri kidimu kati then utaona mziki wetu,wachezi wa ujeruman wengi vilaza tu,Klose kachoka tu,niambie kaifungia mabao mangapi bayern munich msimu huu?Barack naye si unamuona anavyocheza rafu za ajabu siku hizi
AZZURI WINNER FOR EURO 2008
 

Timu si watu wawili bwana, kwa nini tuandikie mate wakati tunakaribia kununua kalamu ya wino?
 
Wafaransa siwapi nafasi kubwa ya kushinda hili kombe Wajerumani wanaweza wakapull a shocker kama mwaka 1994..Italianos hawatabiriki...Waholanzi nao its about time wakaanza kushinda vikombe sasa, wanakuwa loosers kama 3 lions(its a joke-msinitoe roho).

Otherwise, natumaini michuano hii itakuwa mizuri sio dull and boring lol...
 
Germany for EURO 2008 champion! Spain second, Italy third

In Football anything can happen during those 90 minutes....🙂 I would like to see entertaining football. I wish England were there too...🙁
 
Kwa wapenzi wa kandanda JF!!...

Zikiwa zimebaki siku chache kuanza kwa fainali za Mataifa Ulaya (Euro 2008), nimeona ni vyema kama tukawa na thread maalumu kwa michuano yenye msisimko kama hii. Hivyo basi naomba katika thread hii tuweze kuchangia mambo kadha wa kadha hadi pale michuano hii itakapomalizika, nitaomba updates na michango mbalimbali ili kuifanya iwe endelevu..wale wenye pics, vikosi, makocha, injuries, maoni ya makocha, maoni yetu kama wapenda soka, updates za scores, etc basi wanakaribisha....

Kwa kuanza naomba niwape team shiriki na makundi zilipo..


Group A
Czech Republic
Portugal
Switzerland
Turkey

Group B
Austria
Croatia
Germany
Poland

Group C
France
Italy
Netherlands
Romania

Group D
Greece
Russia
Spain
Sweden
 
My bet lies to Portugal...labda kwa kuwa am some how addicted to Ronaldo (????), lakini still my money naweka kwao..still France wanaweza fika mbali lakini Azzuri...not really, hatua ya pili tu inawatosha..
 
Group A[/B]
Czech Republic
Portugal
Switzerland
Turkey

Group B
Austria
Croatia
Germany
Poland

Group C
France
Italy
Netherlands
Romania

Group D
Greece
Russia
Spain
Sweden

Mkuu nahisi bingwa atatoka kundi A ama C.......
 
He he yasije kuwa mambo ya Euro 2004 au 1992 tuu...maana ile ilikuwa shocker!!!
 
Kuna habari za majeruhi
UHOLANZI-RYAN BABEL ameumia na hivyo hatashiriki tena mashinadano
UFARANSA-PATRICK VIEIRA ameumia katika mechi ya kirafiki dhidi ya Uruguay na MATHIU FLAMINI ameitwa kama mchezaji wa akiba kama VIEIRA hatapona ndie atachukua nafasi yake
 
Kusema kweli mashindano haya bila England ni sawa na chuzi bila chumvi, yaani nayamiss mashamsham ya mitaani hapa England kinoma, its as if hayapo kabisa!
 
My bet lies to Portugal...labda kwa kuwa am some how addicted to Ronaldo (????), lakini still my money naweka kwao..still France wanaweza fika mbali lakini Azzuri...not really, hatua ya pili tu inawatosha..

manda
huu mwaka ni wetu sisi AZZURI
 
jamaniii mie ni mpenzi mkuuubwa wa uholanzi lakini de bad thing is haunaga bahati sijuiiiii kuanzia kitambo kile cha kina jap stam,edgar davidz,seedorf,mark overmanz,kluivert bergamp wakaja kina van nistelrooy,robben yan twawaga na timu nzuuuuuri lakini sijui gundu huwa laendea wapiiiii....
still niko nao hoping mayb this tym we gonna b lucky otherwise germany,italy,france n portugal can still win de cup
 
Kusema kweli mashindano haya bila England ni sawa na chuzi bila chumvi, yaani nayamiss mashamsham ya mitaani hapa England kinoma, its as if hayapo kabisa!

na kusema ukweli the fact dat england hawapo kwenye hii euro mie naona kama imepoooza mnoo as media za huko ndo huwagana kelele kibaoooooo now tungekua tushajazwa mambo kem kem na media zao as mpira wao uko kwa medias tu
 
Kuna habari kuwa nahodha wa AZZURI ,FABIO CANAVARO nae kaumia kwenye mazoezi
 
Kusema kweli mashindano haya bila England ni sawa na chuzi bila chumvi, yaani nayamiss mashamsham ya mitaani hapa England kinoma, its as if hayapo kabisa!
siwapendi waingereza wanacheza soka la mdomoni sana hata WC 2010 sitaki waje Afrika
 
Si kwamba nafagilia kiwango cha soka cha England, I agree they are rubbish lakini kuna mambo ambayo hutokea kila kipindi cha mashindano makubwa, coverage kwenye TVs na magazeti, huge posters kwenye pubs, bendera zinazoning'inia majumbani mwa watu au kwenye magari esp. taxis, etc. English fans are more interesting to watch than their team!
 
Nobody will miss England kusema kweli...wanakwendaga kusindikiza wenzao tuu. Kutokuingia kwao kwenye michuano hii kutapunguza fujo na uharibifu wa mali za wenzao....

On the flip side....Oranje need to step their game up na kuanza kushinda vikombe sasa.
 
Kuna habari kuwa nahodha wa AZZURI ,FABIO CANAVARO nae kaumia kwenye mazoezi

Yeah its now confirmed AZZURI skipper FABIO CANAVARO will miss the tournament
Mpo wale wa AZZURI???
 
nmeisikia hiyo na mie kuwa captain wa hao italiaaa ni kipa wao buffon!!!wanaponiboaga timu ya italy ni hapo tuu timu yao ni wazee wazeeeee!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…