Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,046
- 3,971
Fainali hii inayofanyika katika Dimba la Wembley huko London, Uingereza inawaleta pamoja Italia inayoangalia namna ya kuongeza taji jingine la EURO baada ya ya miaka 53 na England inayoangazia namna ya kuchukua taji lake la kwanza la michuano hiyo
Italia imeshapoteza fainali mbili tangu ishinde taji hilo mara ya mwisho huko Rome mwaka 1968 huku England ikiingia fainali kwa mara ya kwanza baada ya kutolewa kwenye hatua ya nusu fainali mara mbili ilizoingia mwaka 1968 - huko Italia na 1996 ikiwa mwenyeji
Itakumbukwa kuwa timu zote zilihitaji muda wa nyongeza (dakika 120) katika michezo yao ya nusu fainali ili kuingia fainali ambapo Italia iliitoa Uhispania (Bingwa mara 3) kwa penati baada ya droo ya goli 1-1, huku England ikiitoa Denmark kwenye dakika hizo za nyongeza
Timu tatu tu zimeshinda taji hilo zikiwa kama mwenyeji Uhispania (1964), Italia (1968) na Ufaransa (1984). Ureno (2004) na Ufaransa (2016) ziliingia fainali lakini hazikufanikiwa kuchukua taji hilo.
Je, timu hizi zilivyokutana huko nyuma ilikuwaje?
Timu hizi zimekutana mara chache katika miaka miaka mingi, Italia imeshinda michezo 10 katika 27 iliyokutana na England, huku England ikishinda michezo 8. Hata hivyo England imefunga magoli mengi 33, mawili zaidi ya Azzurri
Mchezo wa karibuni zilipokutana timu hizo ilikuwa mwaka Mei 2018 katika mchezo wa kirafiki, pale Wembley ambapo timu hizo zilitoka sare ya goli 1-1. Penati ya Lorenzo Insigne katika dakika ya 87 ikisawazidha goli la Jamie Vardy (26').
Mchezo wa mwisho wa kimashindano baina ya timu hizo ulikuwa mwaka 2014 katika mchezo wa makundi ya Kombe la Dunia huko Manaus ambapo Italia iliibuka na ushindi wa goli 2-1.
Huu ni mchezo wa kwanza kwa timu hizo kukutana katika EURO tangu zilipokutana katika michuano hiyo mwaka 2012 katika mchezo wa robo fainali huko Kyiv. Italia iliibuka na ushindi wa penati 4-2 baada ya timu hizo kwenda sare ya bila kufungana ndani ya dakika 120
England haijashinda dhidi ya Italia kwenye michezo 6 ya michuano mbalimbali iliyokutana (D2 L4), tangu ipate ushindi wa goli 2-0 katika kampeni za kufuzu kucheza Kombe la dunia 1978.
Ushindi wa goli 2-0 walioupata England November 1977 ni ushindi pekee walioupata dhidi ya Azzurri katika mechi 6 zilizochezwa Wembley (D3 L2).
FAHAMU REKODI YA TIMU HIZI KATIKA UPIGAJI PENATI
Rekodi ya Italia katika upigaji penati kwenye michuano mikubwa kwa sasa ni W5 L7:
8-9 v Czechoslovakia, 1980 UEFA European Championship third-place play-off
3-4 v Argentina, 1990 FIFA World Cup semi-final
2-3 v Brazil, 1994 FIFA World Cup final
3-4 v France, 1998 FIFA World Cup quarter-final
3-1 v Netherlands, UEFA EURO 2000 semi-final
5-3 v France, 2006 FIFA World Cup final
2-4 v Spain, UEFA EURO 2008 quarter-final
4-2 v England, UEFA EURO 2012 quarter-final
6-7 v Spain, 2013 FIFA Confederations Cup semi-final
3-2 v Uruguay, 2013 FIFA Confederations Cup third-place play-off
5-6 v Germany, UEFA EURO 2016 quarter-final
4-2 v Spain, UEFA EURO 2020 semi-final
Rekodi ya England kwenye upigaji penati kwa sasa kwenye michuano mikubwa ni W3 L6,
3-4 v West Germany, 1990 FIFA World Cup semi-final
4-2 v Spain, EURO '96 quarter-final
5-6 v Germany, EURO '96 semi-final
3-4 v Argentina, 1998 FIFA World Cup round of 16
5-6 v Portugal, UEFA EURO 2004 quarter-final
1-3 v Portugal, 2006 FIFA World Cup quarter-final
2-4 v Italy, UEFA EURO 2012 quarter-final
4-3 v Colombia, 2018 FIFA World Cup round of 16
6-5 v Switzerland, 2019 UEFA Nations League third-place play-off
Hakuna Timu iliyowahi kushinda katika upigaji wa penati mara 2 katika shindano moja la EURO
Italia imeshapoteza fainali mbili tangu ishinde taji hilo mara ya mwisho huko Rome mwaka 1968 huku England ikiingia fainali kwa mara ya kwanza baada ya kutolewa kwenye hatua ya nusu fainali mara mbili ilizoingia mwaka 1968 - huko Italia na 1996 ikiwa mwenyeji
Itakumbukwa kuwa timu zote zilihitaji muda wa nyongeza (dakika 120) katika michezo yao ya nusu fainali ili kuingia fainali ambapo Italia iliitoa Uhispania (Bingwa mara 3) kwa penati baada ya droo ya goli 1-1, huku England ikiitoa Denmark kwenye dakika hizo za nyongeza
Timu tatu tu zimeshinda taji hilo zikiwa kama mwenyeji Uhispania (1964), Italia (1968) na Ufaransa (1984). Ureno (2004) na Ufaransa (2016) ziliingia fainali lakini hazikufanikiwa kuchukua taji hilo.
Je, timu hizi zilivyokutana huko nyuma ilikuwaje?
Timu hizi zimekutana mara chache katika miaka miaka mingi, Italia imeshinda michezo 10 katika 27 iliyokutana na England, huku England ikishinda michezo 8. Hata hivyo England imefunga magoli mengi 33, mawili zaidi ya Azzurri
Mchezo wa karibuni zilipokutana timu hizo ilikuwa mwaka Mei 2018 katika mchezo wa kirafiki, pale Wembley ambapo timu hizo zilitoka sare ya goli 1-1. Penati ya Lorenzo Insigne katika dakika ya 87 ikisawazidha goli la Jamie Vardy (26').
Mchezo wa mwisho wa kimashindano baina ya timu hizo ulikuwa mwaka 2014 katika mchezo wa makundi ya Kombe la Dunia huko Manaus ambapo Italia iliibuka na ushindi wa goli 2-1.
Huu ni mchezo wa kwanza kwa timu hizo kukutana katika EURO tangu zilipokutana katika michuano hiyo mwaka 2012 katika mchezo wa robo fainali huko Kyiv. Italia iliibuka na ushindi wa penati 4-2 baada ya timu hizo kwenda sare ya bila kufungana ndani ya dakika 120
England haijashinda dhidi ya Italia kwenye michezo 6 ya michuano mbalimbali iliyokutana (D2 L4), tangu ipate ushindi wa goli 2-0 katika kampeni za kufuzu kucheza Kombe la dunia 1978.
Ushindi wa goli 2-0 walioupata England November 1977 ni ushindi pekee walioupata dhidi ya Azzurri katika mechi 6 zilizochezwa Wembley (D3 L2).
FAHAMU REKODI YA TIMU HIZI KATIKA UPIGAJI PENATI
Rekodi ya Italia katika upigaji penati kwenye michuano mikubwa kwa sasa ni W5 L7:
8-9 v Czechoslovakia, 1980 UEFA European Championship third-place play-off
3-4 v Argentina, 1990 FIFA World Cup semi-final
2-3 v Brazil, 1994 FIFA World Cup final
3-4 v France, 1998 FIFA World Cup quarter-final
3-1 v Netherlands, UEFA EURO 2000 semi-final
5-3 v France, 2006 FIFA World Cup final
2-4 v Spain, UEFA EURO 2008 quarter-final
4-2 v England, UEFA EURO 2012 quarter-final
6-7 v Spain, 2013 FIFA Confederations Cup semi-final
3-2 v Uruguay, 2013 FIFA Confederations Cup third-place play-off
5-6 v Germany, UEFA EURO 2016 quarter-final
4-2 v Spain, UEFA EURO 2020 semi-final
Rekodi ya England kwenye upigaji penati kwa sasa kwenye michuano mikubwa ni W3 L6,
3-4 v West Germany, 1990 FIFA World Cup semi-final
4-2 v Spain, EURO '96 quarter-final
5-6 v Germany, EURO '96 semi-final
3-4 v Argentina, 1998 FIFA World Cup round of 16
5-6 v Portugal, UEFA EURO 2004 quarter-final
1-3 v Portugal, 2006 FIFA World Cup quarter-final
2-4 v Italy, UEFA EURO 2012 quarter-final
4-3 v Colombia, 2018 FIFA World Cup round of 16
6-5 v Switzerland, 2019 UEFA Nations League third-place play-off
Hakuna Timu iliyowahi kushinda katika upigaji wa penati mara 2 katika shindano moja la EURO