Europa League: Arsenal yang'ara! Atletico Madrid nao yapata ushindi

Europa League: Arsenal yang'ara! Atletico Madrid nao yapata ushindi

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
IMG_20180406_064516.jpg


ULAYA: Klabu ya soka ya Arsenal ya Uingereza jana usiku imeibukana na ushindi mnono wa goli 4-1 dhidi ya klabu ya CSKA Moskva katika michuano ya Europa ligi

Magoli ya Arsenal yalifungwa na Aaron Ramsey(9' na 28') na Alexandre Lacazette (23' na 35'). Huku goli la kufutia machozi la Moskva likifungwa na Aleksandr Golovin(15')

IMG_20180406_064404.jpg


Katika matokeo mengine ya michuano hiyo Klabu ya Atletico de Madrid imepata ushindi wa goli 2-0 dhidi ya klabu ya Sporting CP

Magoli ya Atletico yamefungwa na Koke na Griezmann

IMG_20180406_064456.jpg


Mechi hizi ni mzunguko wa kwanza(first leg), watarudiana tena Aprili 12
 
Back
Top Bottom