Hivi ujui kuwa hao wa Europeans ndio wanaofaidiaka na ufisadi africa? Makampuni yao ndiyo yanayo bribe viongozi wetu, kwa kiasi kikubwa makampuni ya EU ndiyo yanayo fuel corruption africa.
Wakina Chenge na wenzake. wakipewa bribe bado wana zi-invest hukohuko kwenye EU Banks, Mkuu, nchi zao zinaidi kufaidika na contracts za kifisadi, wananchi wao wanapata kazi n.k
Kumbuka scandal za Rada, Ndege ya Mkapa, Madini n.k, wao wa EU waliusika na huu ufisadi, lakini kila siku ukisikiliza TV na Newspaper zao, wanasema viongozi wetu tu ndio mafisadi wao wanao bribe kwao sio makosa. Tuwe makini na hawa watu Mkuu, tusiwategemee.