mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 630
- 2,151
Hiyo nikama kitimoto ukiiogea tu lazima tukujueNa harufu yake ilivyokali, ukishaogea ukirud home lazima ugundulike[emoji4]
[emoji2][emoji2]hiyo nikama kitimoto ukiiogea tu lazima tukujue
Ndio ni sabuni pendwa kwa wale wazee wa chimbo na short time wanaijua vyemaKumbe mkuu unaongelea sabuni
Sio ufala unalipia gharama zako....kumbuka umelipia hii huduma[emoji23] [emoji1787] Nilikuwa na tabia ya kifala saana.. Nikiiogea sikubali kuiacha gesti naibeba kuogea hata mara 2 home kujipoza uchungu wahela ya gesti, kama lodge wanatoa kifungua kinywa hicho ni lazima ninywe [emoji23][emoji1787]
Anaitwa Emmanuel KasomiKwani Eva anatumia ID gani humu JF π€£π€£π€£
Kumbe anaitwa!!! nataka kujua anatumia ID gani humu JFAnaitwa Emmanuel Kasomi
π€£π€£π€£Siogeagi hiyo naendaga na sabuni yangu. Ila ni jana tu nimeiona nikaiweka pembeni