Even Maximo is doing a Phenomenon Job!

Rev. Kishoka

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
4,526
Reaction score
1,540
Well, even the Taifa Stars coach is doing an outstanding job, and so is Mattaka, Mkullo, Luhanjo, Sophia Simba, Edward Hosea, Feleshi, Maghembe, Lukuvi and so many appointees and employees of the Resident of Magogoni!

A matter of fact, none of these appointees have failed to deliver and meet the expectations of the appointer, everything is Mswano even though, the crowd is chanting that the King is naked and we can see his woolen balls hanging!


 
Huyo jamaa hajafanya lolote zaidi ya kuchota mamailioni ya watanzania bureee, tena mchana kweupee!
 
Naungana na raisi, jamaa kafanya kazi yake ipasavyo. Kasimamia kwenye misingi ya soka hata kama hilo linawaudhi wapenzi wengi wa soka ambao ni wanafki, wanaopenda kumtukuza mchezaji hata kama anaisaliti timu na/au nchi

hureee Maximo, kwangu utabaki kama kocha unayeijua kazi yako vizuri na uliyesimamia kwenye ukweli wa soka hata kama nchi haikuwa nyuma yako

ushauri wa bure kwake, anafaa sana kuwa kocha wa klabu kuliko timu ya taifa, kwani klabuni anaweza kuwa na mipango ya muda mrefu, kuliko national team ambapo watu wanataka voda fasta style
 
Hivi JK pmoja na kubembea Jamaica kumbe alikutana na akina Bolt. Ajabu ni kwamba hakuna kitu cha maana kilicholipotiwa kwenye hiyo safari zaidi ya matanuzi. Kweli rais tunaye!!!
 
Yeah, si anatumia Laptop kufundishia soccer....
 

You sound like Makalla, Chiligati or even Makamba. you stand by the president!

There is Zero results, but you are pleased and happy!
 
What in the living hell does a president have to do with the coach of the national football team? Doesn't he have other pressing issues to deal with?
 
You sound like Makalla, Chiligati or even Makamba. you stand by the president!

There is Zero results, but you are pleased and happy!

Yeah, from Negative results, zero sounds something to me
 
Yeah, from Negative results, zero sounds something to me

It is not a linear equation or plotting a graph, nothing has been gained, Zero, Nil, Kapa!

However if we follow your logic, then I have spared him, since everything is running in negative. You should be proud that I have measured him at the starting point and not the negative X or Y!
 
What in the living hell does a president have to do with the coach of the national football team? Doesn't he have other pressing issues to deal with?

JJ,

The President is one who is paying Maximo's salary, not Tenga or TFF! The president is happy with the Good JOb Maximo has been doing, paying him I think somewhere close to $10000.00 a month!

And so is the common trend of His Excellency to be pleased with mediocre results from his direct reports and others who he can rid of them for incompetence!
 

We have gained something though not that much as to impress those who see things lightly. You must know where we came from to determine where we stand now. To me its just like a straight line, and the move is promising

There are a lot of things to do for our football, and I dont see if sacking Maximo will make a better shortcut

Vyovyote utakavyofikiria, mpira ni zaidi ya haya maoni ya Kikwete au kumfukuza Maximo

Tuanze kwanza kwa kuwaambia hawa vijana wetu waache upumbavu, they only should behave professionally to see themselves succeeding, and when they do, it will mean a lot for Taifa Stars also
 
..Maximo has been coaching Taifa Stars for more than three 3. If I was evaluating Maximo, that would be enough time for him to come up with a team that would dominate in East African regional tournaments.

..Now since he has failed to achieve such a modest goal I think we should should just let him go. I dont think we are experiencing any positive trends in our soccer development.

..the defence that Maximo has helped us climb up Fifa Ranking sounds "fuzzy" to me. why dont we evaluate his performance by the number of matches or tournaments our national team wins?
 

Naona hapo unasahau kwamba pango lake la kukaa hoteli muda wote huo ni kiasi gani?
 

Talking of stupid comments, here's a couple.

  • Kikwete ni kiongozi bora - anaangushwa tu na wasaidizi anaowateua yeye, Raisi. Tuanze kwa kuwaambia hao wasaidizi waache ...
  • Maximo ni mwalimu mzuri - anaangushwa tu na wachezaji anaowateua yeye, Kocha. Tuanze kwa kuwaambia wachezaji waache....
And it goes on and on... makes one wanna cry !
 
You have to defend all your choices, come what may!
 


And two years later.


Baada ya miaka minne tumeshindwa kutimiza lengo hata moja. Kwanza, tulishindwa kufaulu kucheza fainali za kombe la Afrika 2008 na sasa tumeshindwa tena kufanya hivyo kwa mashindano ya 2010. Pili, tumaini letu la kushiriki kwenye fainali za kombe la Dunia miaka ya karibuni, inabakia kuwa ndoto. Hata hivyo yapendekezwa Maximo aongezewe awamu ya pili ya miaka mingine minne - naam, ndio utaratibu.
 

Sawa sir/madam

Anaondoka huyu Maximo in a few months to come, tutsubiri tuone nini kitabadilika baada ya hapo

Wengine ni washabiki wa kuona watu wakibadilika tu, sio results

Naweza kusaidia kwa kutoa tu maoni yangu, lakini siwezi kusaidia kwa kuondoa ukungu wa ujinga katika vichwa vya watu
 

Pesa ya Taifa kama TZ haina wenye uchungu nayo.
 

Sasa nani awaambie hao vijana? Maximo ndio yupo kwenye hiyo leadership ya kuwaambia vijana, kama vijana hawaelewi labda kwa kua Maximo hana namna nzuri ya kuwaambia vijana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…