LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,483
Habarii zenu,
Okay so leo naomba tushee vitu tunavyokula ule muda baada ya lunch na kabla ya chakula cha jioni...almaaruf evening tea/ snack
Huwa unatumia nini?
Kwa upande wangu leo ntatumia; French Baguete/ french bread and cheese toast na pickled cucumbers...karibuni
Okay so leo naomba tushee vitu tunavyokula ule muda baada ya lunch na kabla ya chakula cha jioni...almaaruf evening tea/ snack
Huwa unatumia nini?
Kwa upande wangu leo ntatumia; French Baguete/ french bread and cheese toast na pickled cucumbers...karibuni