events planner

Kuku wa Kabanga

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2009
Posts
807
Reaction score
368
jamani natafuta events planner,kama yumo humu ndani aniPM tafadhali.
 
mPM klorokwin,la kama yuko bize basi Aspirin,wote wamebobea kwenye tasnia hiyo,tena Aspirin baada ya kumwoa Kongosho wamedabo maujuzi ila kwa leo Kongosho yuko guanzhou kenda kununua meza na viti.
 
mPM klorokwin,la kama yuko bize basi Aspirin,wote wamebobea kwenye tasnia hiyo,tena Aspirin baada ya kumwoa Kongosho wamedabo maujuzi ila kwa leo Kongosho yuko guanzhou kenda kununua meza na viti.

una schedule ya kila mtu?
 
mPM klorokwin,la kama yuko bize basi Aspirin,wote wamebobea kwenye tasnia hiyo,tena Aspirin baada ya kumwoa Kongosho wamedabo maujuzi ila kwa leo Kongosho yuko guanzhou kenda kununua meza na viti.

mi nnavyojua kongosho mtaalamu wa kuandaa kitchen party, sasa bishanga usije mpoteza mwenzio na event yake..
 
mPM klorokwin,la kama yuko bize basi Aspirin,wote wamebobea kwenye tasnia hiyo,tena Aspirin baada ya kumwoa Kongosho wamedabo maujuzi ila kwa leo Kongosho yuko guanzhou kenda kununua meza na viti.

Ahsante bishanga.
 
mie na plan event yangu na babu aspirin usiku tu
hizi zingine nimegundua hazina mashiko

mPM klorokwin,la kama yuko bize basi Aspirin,wote wamebobea kwenye tasnia hiyo,tena Aspirin baada ya kumwoa Kongosho wamedabo maujuzi ila kwa leo Kongosho yuko guanzhou kenda kununua meza na viti.
 
sasa hivi naandaa na kibao kata, kucheza mwali

mi nnavyojua kongosho mtaalamu wa kuandaa kitchen party, sasa bishanga usije mpoteza mwenzio na event yake..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…