Everton na Arsenal

french

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2017
Posts
3,572
Reaction score
3,726
Hivi everton wamemchukua ancelotti huku arsenal wakimchukua artena ambae hajawahi ku manage timu kubwa. Nimejuja kugundua tatizo la arsenal sio wachezaji bali ni board. Board inafanya gambling na itawa cost sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Mara ya mwisho kuiona arsenal inagombea ubingwa wa ligi kuu tu ni lini? mpaka utoke povu kiasi hicho team ambazo naziona zinanjaa ya makombe pale EPL ni tatu tu Liverpool,man city na Chelsea.
 
Mbona huongelei Napoli waliomfukuza Ancelloti wakamchukua Gattusso, Kama hujui mpira si bora usifungue uzi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hana anachokijua huyo,kipindi Ancelloti anafukuzwa na timu anakabidhiwa Zidane hajaleta uzi hapa.....
Au Zidane alikuwa ni kocha wa timu gani kipindi wanampa timu????

Kila unachofanya ni Gambling....

Sex
Kula
Kulala
Kutembea

Vyote ni gambling

Hahahaaaaaaaaaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Mara ya mwisho kuiona arsenal inagombea ubingwa wa ligi kuu tu ni lini? mpaka utoke povu kiasi hicho team ambazo naziona zinanjaa ya makombe pale EPL ni tatu tu Liverpool,man city na Chelsea.
Komenti ya kipimbi mwandiko wa kipimbi na alieandika hapa pimbi kabisa... Huyu matraako nae anajiona et anataka kuchambua Mpira na kutoa maoni yake!!!

Typed Using KIDOLE
 
Komenti ya kipimbi mwandiko wa kipimbi na alieandika hapa pimbi kabisa... Huyu matraako nae anajiona et anataka kuchambua Mpira na kutoa maoni yake!!!

Typed Using KIDOLE
Naona kijana umetoa povu si la nchi hii kwani nimekukosea?
 
Madeid mkuu huwezi fananisha na arsenal. Madrid hat bila kocha inacheza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…