Everton, West Ham na Burnley zamgombania Mbwana Samatta

Everton, West Ham na Burnley zamgombania Mbwana Samatta

Richalison sio natural striker. Ni winger wa kushoto. Winger ya kulia walcott, namba 10 sigurdsso. Game ya juzi alianza kama false 9 sababu ya poor form ya cenk tosun na forwards wa everton kwa ujumla. Natural strikers wa everton sahivi ni tosun, oumar niasse na dominic calvert lewin. Wote wa kawaida sana


Hongera mkuu, nimekupa respect kwa kufatilia mpira
 
Kwa kuweka kumbukumbu sawa, Everton ni timu ambayo iliwaamini na kuwapa nafasi makinda kibao, na mpaka sasa wanatesa au walitesa vilivyo;
1. Wayne Rooney.. Alitoka Everton akaenda kusumbua Man U.
2. Lukaku.. Alitoka Everton akaenda kufanya yake Man U.
3. John Stones.. Alitoka Everton sasa anasumbua Man City
4. Ross Barkley.. Alitoka Everton sasa anasumbua Chelsea ya mvuta fegi Sarri.
5. Joe Hart.. Alitoka Everton akaenda tesa sana Man City
6. Garry Cahill.. Alitoka Everton akaenda wika vilivyo Chelsea
.
.
.
Kwa kifupi Mkuu list ni ndefu sana.. Ila naamini anayefuata ni;
.
.
59. Mbwana Samatta 'Former Simba SC player'.. Alienda Everton akawika sana na sasa anamuweka benchi Benzema hapa Real Madrid.
Hivi Mbwana Samatta bado ni kinda ?
 
Hongera mkuu, nimekupa respect kwa kufatilia mpira
Shukrani sana mkuu. Yote ni kwa sababu ya Epl Fantasy. Mtu unajikuta unacheki games hata za timu ndogo ili kufanya scouting ya wachezaji
 
Germany awezi kuleshuguli pevu..unatafuta MPIRA UK ukijipanga MBELE ukosi magoli ya maana nimjuavyo NDOGO..German unatafuta MPIRA unaenda naombelee
Tulia basi uandike vitu vinavyoeleweka
 
Kuna clause zinakuwa ktk mikataba ya wachezaji, parent timu ya awali hufaidika na uuzwaji wa mchezaji. Sio Simba tu. Mazembe wana shea yao, kwa simba yaweza kuwa ndogo ila si haba.
Inakuwaje hiyo yani Genk wamuuze, halafu simba wapate mgao sio tp mazembe?
Watakaofaidika zaidi ni kile kituo kilichomlea cha Kimbangulile mbagala
 
Klabu za ligi kuu ya England Everton, West Ham,Burnley na brighton zinamtaka staika wa Genk. Magazeti ya England standard London na mirror wameripoti habari hizo.
Samatta amekuwa kwenye kiwango kizuri msimu huu akifunga magoli 14

West Ham and Everton reportedly tracking 14-goal Genk hotshot after stunning start to the season
According to our friends at The Mirror (via
HITC ), the club are believed to be tracking Genk striker Mbwana Samatta.
The Tanzanian international has caught the eye in Belgium this season and has so far scored 14 goals in 16 games for his side, with six of those coming in Europa League qualifying.
As well as interest from West Ham, Everton, Burnley and Brighton & Hove Albion are also said to be keeping tabs on the in-form forward.
Wakimchukua basi watakuwa wanekula big loss
 
Mimi nashauri Samatta aende akaokoe jahazi pale Manyumbu Yunaited.

Ni bora Samatta kuliko Rukarukatu
IMG-20181003-WA0013.jpg
 
Nasikia kule England ukiwa unatoka katka nchi ambayo viwango vya ubora vya FIFA ni vya mwisho mfano tz basi huwezi sajiliwa Kule sasa hii wadau imekaaje Kama hii habari ni ya Kweli?
 
Nasikia kule England ukiwa unatoka katka nchi ambayo viwango vya ubora vya FIFA ni vya mwisho mfano tz basi huwezi sajiliwa Kule sasa hii wadau imekaaje Kama hii habari ni ya Kweli?
VP kuhusu Victor wanyama!
 
Back
Top Bottom