Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
Rais Evo Morales wa Bolivia amesema kuwa makao makuu ya Umoja wa Mataifa yanapaswa kuondolewa New York Marekani na kupelekwa katika nchi nyingine kutokana na siasa za Washington za kutoa vitisho na kutumia mabavu dhidi ya nchi nyingine.
Rais wa Bolivia ambaye alikuwa akihutubia kikao cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, amesisitiza kuwa makao makuu ya Umoja wa Mataifa yanapaswa kuwa katika nchi inayoheshimu sheria na makubaliano yote ya kimataifa na isiyotoa hifadhi kwa magaidi na kuwalinda mafisadi.
Morales amelaani hatua ya Marekani ya kumzuia Rais wa Venezuela kuhudhuria mkutano wa 68 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York na kuongeza kuwa, haiwezekani kwa mtu asiyeamini ubeberu na mfumo wa kibepari kuwa na usalama mjini New York.
Morales vilevile amemkosoa vikali Rais Barack Obama wa Marekani na kusema: Obama hawezi kuzungumzia amani na uadilifu wakati nchi yake inaendelea kuingilia masuala ya nchi nyingine na kufanya dhulma katika nchi hizo.
Rais wa Bolivia ambaye alikuwa akihutubia kikao cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, amesisitiza kuwa makao makuu ya Umoja wa Mataifa yanapaswa kuwa katika nchi inayoheshimu sheria na makubaliano yote ya kimataifa na isiyotoa hifadhi kwa magaidi na kuwalinda mafisadi.
Morales amelaani hatua ya Marekani ya kumzuia Rais wa Venezuela kuhudhuria mkutano wa 68 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York na kuongeza kuwa, haiwezekani kwa mtu asiyeamini ubeberu na mfumo wa kibepari kuwa na usalama mjini New York.
Morales vilevile amemkosoa vikali Rais Barack Obama wa Marekani na kusema: Obama hawezi kuzungumzia amani na uadilifu wakati nchi yake inaendelea kuingilia masuala ya nchi nyingine na kufanya dhulma katika nchi hizo.
The President of Bolivia Evo Morales urged the UN headquarters to be moved from New York because of US "blackmail" and bullying.
Morales blasted the US government for its handling of Venezuelan counterpart Nicolas Maduro and blasted American "imperialism" during a 40-minute speech to the UN General Assembly.
"We must seriously think about changing the headquarters of the United Nations," said Morales.
"The headquarters should be in a state that has ratified all UN treaties," Morales added.
"How can we be safe at a meeting of the United Nations here in New York? Maybe not all," he added.
"Some do not believe in imperialism and capitalism and feel totally unsafe," Morales said, referring to Maduro's battle with US authorities over his attendance at the annual UN leaders' summit.
Morales expressed "solidarity" with the Venezuelan president who accused the United States of refusing him permission to fly through US airspace on a trip to China as well as visas for his staff to go to the UN assembly.
Maduro had been scheduled to speak at the UN assembly on Wednesday, but pulled out of the visit.
The US administration said an application for the airspace flight was badly filled in and denied that any visas were refused.
"No guaranteed visas, no guaranteed overflights. We feel threatened, bullied and blackmailed over visas," he said, adding that the United States "has never ratified treaties related to human rights."
Morales said he did not think his native Bolivia nor Latin America could handle the UN headquarters.
The UN headquarters has been in New York since the global body's creation in 1945.
Voice of Russia, AFP