Evo Morales: UN Headquarters should be moved from New York because of US "blackmail" and bullying

Evo Morales: UN Headquarters should be moved from New York because of US "blackmail" and bullying

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2010
Posts
17,005
Reaction score
20,425
Rais Evo Morales wa Bolivia amesema kuwa makao makuu ya Umoja wa Mataifa yanapaswa kuondolewa New York Marekani na kupelekwa katika nchi nyingine kutokana na siasa za Washington za kutoa vitisho na kutumia mabavu dhidi ya nchi nyingine.

Rais wa Bolivia ambaye alikuwa akihutubia kikao cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, amesisitiza kuwa makao makuu ya Umoja wa Mataifa yanapaswa kuwa katika nchi inayoheshimu sheria na makubaliano yote ya kimataifa na isiyotoa hifadhi kwa magaidi na kuwalinda mafisadi.

Morales amelaani hatua ya Marekani ya kumzuia Rais wa Venezuela kuhudhuria mkutano wa 68 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York na kuongeza kuwa, haiwezekani kwa mtu asiyeamini ubeberu na mfumo wa kibepari kuwa na usalama mjini New York.

Morales vilevile amemkosoa vikali Rais Barack Obama wa Marekani na kusema: Obama hawezi kuzungumzia amani na uadilifu wakati nchi yake inaendelea kuingilia masuala ya nchi nyingine na kufanya dhulma katika nchi hizo.

The President of Bolivia Evo Morales urged the UN headquarters to be moved from New York because of US "blackmail" and bullying.

Morales blasted the US government for its handling of Venezuelan counterpart Nicolas Maduro and blasted American "imperialism" during a 40-minute speech to the UN General Assembly.

"We must seriously think about changing the headquarters of the United Nations," said Morales.

"The headquarters should be in a state that has ratified all UN treaties," Morales added.

"How can we be safe at a meeting of the United Nations here in New York? Maybe not all," he added.

"Some do not believe in imperialism and capitalism and feel totally unsafe," Morales said, referring to Maduro's battle with US authorities over his attendance at the annual UN leaders' summit.

Morales expressed "solidarity" with the Venezuelan president who accused the United States of refusing him permission to fly through US airspace on a trip to China as well as visas for his staff to go to the UN assembly.

Maduro had been scheduled to speak at the UN assembly on Wednesday, but pulled out of the visit.

The US administration said an application for the airspace flight was badly filled in and denied that any visas were refused.

"No guaranteed visas, no guaranteed overflights. We feel threatened, bullied and blackmailed over visas," he said, adding that the United States "has never ratified treaties related to human rights."

Morales said he did not think his native Bolivia nor Latin America could handle the UN headquarters.

The UN headquarters has been in New York since the global body's creation in 1945.

Voice of Russia, AFP
 
Naunga mkono msimamo huu na hata comrade Hugo Chavez alisema
 
Jamaa kapasua jipu pwaaa, kama mbwai na iwe mbwai safi sana kaongea bila kuuma kuuma maneno
 
Tatizo liko clear lakini tusisahau kwamba the greatest contributor wa UN ni USA, unaweza kuwa na usawa na bosi kwenye kutoa maoni lakini sio katika kutoa maamuzi.
 
Yericko,
Unaonaje makao makuu yakipelekwa kwenye ile nchi yenu ya Lebanon ambayo Rais wake ni "Snake ze Master"?
 
Amesema kweli lakini USA anachangia asilimia 25+ ya bajeti ya UN!.......
hata kimaamuzi lazima atatofautiana na Thailand au Tanzania ambao bado wapo kwenye 0.001........
 
Tatizo liko clear lakini tusisahau kwamba the greatest contributor wa UN ni USA, unaweza kuwa na usawa na bosi kwenye kutoa maoni lakini sio katika kutoa maamuzi.

Kwenye MoU iliyounda UN kuna kipengele kinachompa nguvu mwanachama mwenye "hisa" kubwa,

Lakini naona nguvu ya muungano wa Uchina, India na Urusi vinatoa uwezo wa kura ya VETO yapamoja inayoweza kuipoka hisa/nguvu zote USA
 
Amesema kweli lakini USA anachangia asilimia 25+ ya bajeti ya UN!.......
hata kimaamuzi lazima atatofautiana na Thailand au Tanzania ambao bado wapo kwenye 0.001........

Mimi napendekeza ihamishiwe China maana wanauwezo wa kuindesha bila michango ya nchi yo yote; si mnajua Marekani ni inaongoza kukopa toka China.
 
Amesema kweli lakini USA anachangia asilimia 25+ ya bajeti ya UN!.......
hata kimaamuzi lazima atatofautiana na Thailand au Tanzania ambao bado wapo kwenye 0.001........

Japo USA yenyewe nayo ipokwenye wadaiwa sugu na UN.
 
Yapelekwe La Paz basi, halafu na fungu analotoa mnyamwezi watoe Bolivia.

Baniani mbaya, kiatu chake dawa.

Kama hujajua historia ya makao makuu ya UN kuwekwa NYC na ku address key reasons, huwezi kuondoa makao makuu hayo Gotham City.

Tena New Yorkers wengine wanaweza kufurahi sana kuondolewa ghasia za gridlock and diplomatic immunity drunk pricks.
 
Kuna yale majamaa yenye roho mbaya yalikuwa yanataka kuhamisha makao makuu ya EA Arusha sijui kwanini yasichangamkie hii tenda.
 
Kuna yale majamaa yenye roho mbaya yalikuwa yanataka kuhamisha makao makuu ya EA Arusha sijui kwanini yasichangamkie hii tenda.
Utayashangaa yote yatajifanya rafiki wa USA na kupinga vikali wazo murua la Mr Evo Morales
 
Haya makao makuu hata yakihamia Somalia au Afghanistan bado Muundo ni ule ule. Kwanza mfumo wa UN (UN charter) ibara ya 17 inatoa fursa kwa wanachama wa kudumu kuchagua mahali pa ofisi za UN. Pili Ibara ya 35 ina masharti ya usalama na mawasiliano ambavyo kwa sasa hata yakititoka NY bado yatahamia London,Tokyo,Paris, Berlin au kwa wanachama wengine wa kudumu au wenye nguvukama Russia au China.Angesema katiba ibadilishwe angepatia. Mkutano mkuu yaani UNGA unawashirikisha wakuu wa nchi zote wanachama wa UN, Je ukihamia Somalia tutwaza kuwahifadhi na kuwalinda hao viongozi wote? Ni maoni tu wakuuOTE=Yericko Nyerere;7422136]Rais Evo Morales wa Bolivia amesema kuwa makao makuu ya Umoja wa Mataifa yanapaswa kuondolewa New York Marekani na kupelekwa katika nchi nyingine kutokana na siasa za Washington za kutoa vitisho na kutumia mabavu dhidi ya nchi nyingine.

Rais wa Bolivia ambaye alikuwa akihutubia kikao cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, amesisitiza kuwa makao makuu ya Umoja wa Mataifa yanapaswa kuwa katika nchi inayoheshimu sheria na makubaliano yote ya kimataifa na isiyotoa hifadhi kwa magaidi na kuwalinda mafisadi.

Morales amelaani hatua ya Marekani ya kumzuia Rais wa Venezuela kuhudhuria mkutano wa 68 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York na kuongeza kuwa, haiwezekani kwa mtu asiyeamini ubeberu na mfumo wa kibepari kuwa na usalama mjini New York.

Morales vilevile amemkosoa vikali Rais Barack Obama wa Marekani na kusema: Obama hawezi kuzungumzia amani na uadilifu wakati nchi yake inaendelea kuingilia masuala ya nchi nyingine na kufanya dhulma katika nchi hizo.[/QUOTE]
 
Kwenye MoU iliyounda UN kuna kipengele kinachompa nguvu mwanachama mwenye "hisa" kubwa,

Lakini naona nguvu ya muungano wa Uchina, India na Urusi vinatoa uwezo wa kura ya VETO yapamoja inayoweza kuipoka hisa/nguvu zote USA

Mkuu nchi kama China, Urusi na India ni wazi haviwezi kuishinda USA. Usisahau kwamba diplomatically USA = UK + Canada + South Korea + Israel + USA yenyewe. Na hao jamaa wa Russia economically wapo very weak kuweza kuleta ushawishi wa HQ kuhamishiwa kwao, ni bahati nzuri kwamba cold war ,mind war bado inawabeba lakini nao “washafulia”.
 
Back
Top Bottom