Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Arrrrgggghhhhh....hakuna kitu kinachoni turn off kama harufu mbaya ya kwapa. Kwapa linatakiwa liwe swafi bana. Mimi ni kwapa specialist hapa. Kwapa la mwanamke linatakiwa liwe nyororo kama kwapa la mtoto. Yaani hakuna mi razor bumps wala nini. Halafu halitakiwi liwe na rangi tofauti..hapa nikimaanisha two-tone. Kwapa linahitaji special care bana. Mimi kwapa la mwanamke hunitia hamu kwa sana tu. Sijui nina kwapa fetish...
Mkuu unaelewa binadamu tulivyotafautiana siku moja nilipigwa nabubuwazi nilipo ona programu moja ya watu weupe (mizungu)wakijadiliana mambo ya harufu ikatokea mmoja wao akasema yeye binafsi humuomba pata wake awe katika hali ya harufu harufu ya shombo la sihivyo huwa si mwenye furaha na tendo nilipatwa na butwaa .
Man, where did you get this?
Lol. Nilizusha tu hii story. Lakini data zinazotolewa humu ndani nimeanza kuamini story yangu na hata harufu mbaya nimeanza kuipenda.