Darwin, darwin darwin, mhh mhm hmh.
Unatia aibu kweli kweli. Hivi hamna vitabu vya Ki-racist ukasoma na kuachana na Biblia yetu.
Hapo ndipo watu watajua kuwa Mungu yupo.
Ukimuuliza au mwambie alete ushaidi, anaanza habari za popobawa wa kwao Unguja na Pemba. Kumbe jamaa alishughulikiwa na Mapopobawa.
Hili ndilo tatizo la darwin la kupenda kubadilisha mada. Sasa kaamua kutangaza imani yake nyingine ya upenzi wake wa binafsi wa popobawa.
Sijaona mtu aliyewahi kuleta aibu kama darwin. Kadai anajibu, karukia Ten Commandment, sasa Karukia UPOPOBAWA.
Ukiona mtu anazungumzia Popobawa kila pahali katika posti zake, ujue kuwa hawo majamaa walimfanya kitu mbaya sana, na anashindwa kusahau, au jamaa anayapenda mapopobawa kwa jinsi yanavyomshughulikia kila usiku.
Darwin ameonyesha sifa zote sinazohusiana na upenzi wa popobawa.
Sina mengi ya kusema, tumsubiri darwin mwenyewe alete MAVITUUUUUUUZ.
You can cite the whole bible from front to end and backwards, upside down or inside out, but that does not alter the simple fact that it is only a human artefact, produced by fallible men about the hearsay of hearsay of hearsay that someone said that god might have said. [hadithi za popobawa]
Without any trace of evidence that it was god or the devil or just hallucination.
Unless of course, you can show me a bible (or any 'holy' scripture for that matter) that has been created without any interference of man and doubtlessly can be ascribed to god and no other.
Nilifikiri nabishana na mtu anayejua kumbe huna unalojua lolote.
Ten commandment zimetoka kwenye torah ya Moses, ndio mwanzo wenu nyie watu wa dini.
Akaja mnayemuita Jesus, akaulizwa je Umekuja kuzibadili amri kumi za Mungu?
Jesus kama kitabu chenu kinavyosema alijibu: SIKUJA KUIBADILI TORAH BALI KUIKARABATI NA KUIKAMILISHA.
Kwa maana hio na yeye alifuata 'Torah'
Kitendawili kinakuja basi;
Alphabet zilizotumika kuandika amri kumi za Mungu zilikuja karne na karne baada ya uhai wa Moses!.
Swali nakuuliza itakuaje mpokeaji wa amri kumi za mungu keshakufa tayari ndio amri zikaja?
Najua unasema unaijua biblia Nijibu ilikuaje?
Kama huna jibu la hili swali nikwamba Torah na biblia vyote ni hadithi za POPOBAWA tu ambazo hazina ukweli
Na kama biblia na Torah zilikua ni hadithi tu basi hata munayemuita Mungu ni hadithi pia.
Nakushauri usome biblia yako
Nilifikiri nabishana na mtu anayejua kumbe huna unalojua lolote.
Ten commandment zimetoka kwenye torah ya Moses, ndio mwanzo wenu nyie watu wa dini.
Akaja mnayemuita Jesus, akaulizwa je Umekuja kuzibadili amri kumi za Mungu?
Jesus kama kitabu chenu kinavyosema alijibu: SIKUJA KUIBADILI TORAH BALI KUIKARABATI NA KUIKAMILISHA.
Kwa maana hio na yeye alifuata 'Torah'
Kitendawili kinakuja basi;
Alphabet zilizotumika kuandika amri kumi za Mungu zilikuja karne na karne baada ya uhai wa Moses!.
Swali nakuuliza itakuaje mpokeaji wa amri kumi za mungu keshakufa tayari ndio amri zikaja?
Najua unasema unaijua biblia Nijibu ilikuaje?
Kama huna jibu la hili swali nikwamba Torah na biblia vyote ni hadithi za POPOBAWA tu ambazo hazina ukweli
Na kama biblia na Torah zilikua ni hadithi tu basi hata munayemuita Mungu ni hadithi pia.
Nakushauri usome biblia yako
Proof #1 - Try praying
What would happen if we get down on our knees and pray to God in this way:
Dear God, almighty, all-powerful, all-loving creator of the universe, we pray to you to cure every case of cancer on this planet tonight. We pray in faith, knowing you will bless us as you describe in Matthew 7:7, Matthew 17:20, Matthew 21:21, Mark 11:24, John 14:12-14, Matthew 18:19 and James 5:15-16. In Jesus' name we pray, Amen.
We pray sincerely, knowing that when God answers this completely heartfelt, unselfish, non-materialistic prayer, it will glorify God and help millions of people in remarkable ways.
Will anything happen? No. Of course not.
This is very odd. Jesus makes specific promises in the Bible about how prayer is supposed to work. Jesus says in many different places that he and God will answer your prayers. And Christians believe Jesus -- according to this recent article, "54% of American adults believe the Bible is literally true." In some areas of the country the number goes as high as 75%.
If the Bible is literally true, then something is seriously amiss. Simply look at the facts. In Matthew 7:7 Jesus says:
Ask, and it will be given you; seek, and you will find; knock, and it will be opened to you. For every one who asks receives, and he who seeks finds, and to him who knocks it will be opened. Or what man of you, if his son asks him for bread, will give him a stone? Or if he asks for a fish, will give him a serpent? If you then, who are evil, know how to give good gifts to your children, how much more will your Father who is in heaven give good things to those who ask him!
If "every one who asks receives", then if we ask for cancer to be cured, it should be cured. Right? If "our Father who is in heaven gives good things to those who ask him", then if we ask him to cure cancer, he should cure it. Right? And yet nothing happens. ..................
Hili ndilo tatizo la darwin la kupenda kubadilisha mada. Sasa kaamua kutangaza imani yake nyingine ya upenzi wake wa binafsi wa popobawa.
Sijaona mtu aliyewahi kuleta aibu kama darwin. Kadai anajibu, karukia Ten Commandment, sasa Karukia UPOPOBAWA.
Tusubiri kesho, najua ataleta habari ya akina moshoga zake ANTI MUDI?
Jamaa kakimbia.
Leo umesema ukweli kwamba upo hapa kubishana. Ndio maana umeshindwa kujibu swali langu kwa zaidi ya wiki tano.
Na kama biblia na Torah zilikua ni hadithi tu basi hata munayemuita Mungu ni hadithi pia.
Haiwezi amri za Mungu zikaja baada ya aliyezipokea keshakufa tayari.
Kama hujapata jibu hapo basi kazi ipo! tena sana
Poor thinking, reasoning, and understanding is your problem.
Still you have failed to answer my question, "PROVE TO ME THAT GOD DOES NOT EXIST"
When the chazzer went up that mountain, some thirteen centuries BC, there even did not even exist a Hebrew alphabet.
What's even more fun:
tradition wants that the torah was given to the jews by moses a mere human you so despise as sourse of knowledge, no god. But what did they believe all those centuries before that happened, ignorant of genesis, exodus, leviticus, numbers and deuteronomy? And even then, they could impossibly believe all of the OT bible which was still future.
Max hata kitabu unachokitetea hukijui kimetoka wapi?
I am not talking about ten commandment here, I NEED MY ANSWER THAT GOD DOES NOT EXIST AS YOU PROMISSED TWO WEEKS AGO THAT YOU HAVE IT.
If you want an answer for your question, I have started a thread of ten commandment "jukwa la dini" go there post it, I will give exhibits and prove to you that you are just having defacto wishful thoughts.
I hate mixing themes.
Max hio bible yako haina amri kumi za Mungu?
Amri kumi za Mungu si ndio mlipoanzia ninyi watu wa dini?
Moses na mnayemuita Jesus wa kwanza ni nani?
Aliyepewa amri kumi na mnayemuita mungu alikua Jesus au ni Moses?
Hivi unaijua hata historia ya bible?
Unfotunetly JUKWAA LA DINI is private!!!
If you want an answer for your question, I have started a thread of ten commandment "jukwa la dini" go there post it, I will give exhibits and prove to you that you are just having defacto wishful thoughts.
I hate mixing themes.