Evolution!!

Inawezekana kwani hamjaona watu wenye oesity wananvyokuwa!
 
duuhh hii hatari tumetoka kwa nyani tunaenda kwa nguruwe.........
i can smell danger......
 
mmmmmhhhhh mweheshimiwa ni hatari kuwa nguruwe.......
kila upande kila mtu anakuchukia....
hata wanao kupenda watakuu tu......
hiyo ndo hatari mkuu.....
(borea nyani)
mtu akimgusa nyani kuna Animal control Unity wanakusubiria......
 
Uzuri wake mabadiliko ya evolution huchukua karne nyingi. Kwa hiyo sisi na wajukuu zetu wote hatutakuwapo enzi za binadamu - kiti moto.
 
Nilifikiri jamaa wamejipanga ili waruke ukuta wa kiti moto.
 
Uzuri wake mabadiliko ya evolution huchukua karne nyingi. Kwa hiyo sisi na wajukuu zetu wote hatutakuwapo enzi za binadamu - kiti moto.
Kweli kabisa huenda hata ikatokea mwaka 3000, sijui ni kizazi cha ngapi toka sasa.
 
Unashangaa nini, angalia picha na utaona kuwa jamaa wamepanga foleni kumpiga mande kitimoto.
Ahahahaaaah inawezekana maana watu wengine siku hizi hadi wanyama wanawanyegelesha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…