Ewaaaa, kweli hujafa hujaumbika!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Hapa naweza kusema tuko sawa

Mpwa hebu fanya mpango, pigia pande mimi turbo spare nyingine, kwani mimi penda sana lakini sijui wapi napatikana bana!!!!!!!
 
Big is here watching the two of you.

big, yaani mi kupotea siku hizi chache tu watu mmeshagawana hazina zote zilizomo humu!this is very unfair bana!!!!!
 
Mi napata shida kuoanisha kichwa cha habari na habari ya ndani..........................nway karibu bacha.
 
Abdallah sasa kawa na baba. Jina lake sasa ni Abdallah bin KICHWA-WAZI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…