Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Masikini tunakua na roho mbaya kudhani kwamba tajiri akifilisika mali zake utazimiliki, hapana ni roho ya uchawi tu.Wengi wao wanaotamani utawala kama wa mwendazake urudi tena kwa mara nyingine ni wale waliokuwa wamebatizwa jina la "wanyonge"[emoji3][emoji3][emoji3]....Na Hawa wengi wao wanawachukia sana matajiri, hutamani kuona Tajiri akifirisika Na kuwa kama wao ....Na wengi wao wanatamani utawala kama ule wa mwendazake ili matajiri wafirisiwe[emoji3][emoji3][emoji3].....
Ni laana piaKwa mujibu wa vitabu vya Mungu Umasikini ni dhambi
Ukumbusho tu.......Hii mbona haina hata haja ya kuweka post
Ww huo muda waza madili na pesa, ulichoandika na unaowasema kunakua Hakuna utofauti ndio maana matajiri wenyewe hawana huo muda wa kujibuUkumbusho tu.......