Ewe mtumishi hasa Kada ya Ualimu. Je, utakuwemo kwenye wale 70000 waliopandishwa madaraja?

Ewe mtumishi hasa Kada ya Ualimu. Je, utakuwemo kwenye wale 70000 waliopandishwa madaraja?

Mr Q

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
18,046
Reaction score
38,598
Kada ya ualimu ndio imebeba idadi kubwa ya watumishi. Mwaka 2015 pekee waliajiriwa walimu wengi sana kwa mkupuo na hao hawalupanda madaraja kwa takribani miaka 6

Sasa taarifa iliyo toka hivi karibuni ni kuwa wamepandishwa watumishi kama sabini elfu hivi.

Je, utakuwemo?

Pia, sio mbaya kuleta updates humu hali ipoje kwenye kada nyinginezo mikoani wilayani n.k.
 
IMG-20210622-WA0000.jpg
 
Walimu na madaraja, utadhani kinachoongezeka kina maana kumbe ni laki tu.Haya mtaongezewa hiyo laki mpange foleni kwenda kutop up benki mrudi kulekule tena. Aliyefanya ualimu ikawa kada ya wengi waliofeli aliharibu Sana ndio maana hata makofi sometimes yanawahusu, hamujitambua nyie walimu acheni umbea na kujipendekeza kwingi kwa vitu vidogo vidogo.Mwalimu anajipendekeza kwa DEO ili akasimamie mtihani 🤣🤣🤣 ovyo kabisa
 
Walimu na madaraja, utadhani kinachoongezeka kina maana kumbe ni laki tu.Haya mtaongezewa hiyo laki mpange foleni kwenda kutop up benki mrudi kulekule tena. Aliyefanya ualimu ikawa kada ya wengi waliofeli aliharibu Sana ndio maana hata makofi sometimes yanawahusu, hamujitambua nyie walimu acheni umbea na kujipendekeza kwingi kwa vitu vidogo vidogo.Mwalimu anajipendekeza kwa DEO ili akasimamie mtihani 🤣🤣🤣 ovyo kabisa
Punguza wivu mkuu
 
Walimu na madaraja, utadhani kinachoongezeka kina maana kumbe ni laki tu.Haya mtaongezewa hiyo laki mpange foleni kwenda kutop up benki mrudi kulekule tena. Aliyefanya ualimu ikawa kada ya wengi waliofeli aliharibu Sana ndio maana hata makofi sometimes yanawahusu, hamujitambua nyie walimu acheni umbea na kujipendekeza kwingi kwa vitu vidogo vidogo.Mwalimu anajipendekeza kwa DEO ili akasimamie mtihani 🤣🤣🤣 ovyo kabisa
😀😀😀 pole sana yaliwahi kukukuta nini?
 
Walimu na madaraja, utadhani kinachoongezeka kina maana kumbe ni laki tu.Haya mtaongezewa hiyo laki mpange foleni kwenda kutop up benki mrudi kulekule tena. Aliyefanya ualimu ikawa kada ya wengi waliofeli aliharibu Sana ndio maana hata makofi sometimes yanawahusu, hamujitambua nyie walimu acheni umbea na kujipendekeza kwingi kwa vitu vidogo vidogo.Mwalimu anajipendekeza kwa DEO ili akasimamie mtihani 🤣🤣🤣 ovyo kabisa
Acha madharau
 
Hivi wale 34,000 wa mambo ya ndani waliopandishwa vyeo nao wamo kwenye hii orodha?
 
Mimi nimepanda daraja,barua nimechukua Jana ,naipomgeza government yangu kwa Hilo,nategemea kitu Kama 150+ kuongezeka mwezi huu. Mungu mkubwa jamani
Hongera mkuu hadi ume kumbuka kumtaja Mungu? Yainekana ulikuwa umebanwa saana. Huyo soldier hapi kwenye picha aliwapeleka utumwani watumishi hakika nakuambia.
 
Mimi nimepanda daraja,barua nimechukua Jana ,naipomgeza government yangu kwa Hilo,nategemea kitu Kama 150+ kuongezeka mwezi huu. Mungu mkubwa jamani
Barua yako inaonesha badiliko linaanza mwezi upi ?
 
Mimi nimechukua barua leo leo nimepanda cheo, pesa inayoongezeka ni 240,000 ni pesa nyingi kwa mipango yangu nikienda Bank sikosi milion 12.
Asante sana Rais Samia Suluhu huu ni mwanzo mzuri kwa haki zetu
Barua inaelekeza vipi kuhusu mabadiliko hayo. Ni mwezi huu au ujao?
 
Mimi nimepanda daraja,barua nimechukua Jana ,naipomgeza government yangu kwa Hilo,nategemea kitu Kama 150+ kuongezeka mwezi huu. Mungu mkubwa jamani
Mataga mkubwa wewe Toka hapa

Wewe ni mmoja wapo wa lile genge linalomkwamisha mama

Tutadili na nyie Mataga papendicular
Tutawanyoosha washenz nyie
 
Mataga mkubwa wewe Toka hapa

Wewe ni mmoja wapo wa lile genge linalomkwamisha mama

Tutadili na nyie Mataga papendicular
Tutawanyoosha washenz nyie
Mkuu reeeeeeelax!!!!! Wamesha jutia makosa yao 😁😁😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom