Ewe mtumishi hasa Kada ya Ualimu. Je, utakuwemo kwenye wale 70000 waliopandishwa madaraja?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
usipende kukashifu kazi za watu,hii kazi now tunaifanya vijana tunaojitambua,huo ualimu unaouzungumza hapa ni wa enzi za mwl jk,halafu mwl sio mtu aliyofeli futa kauli yako,yamkini una kazi nzuri na kipato kizuri lakini usitumie kuwamamanga wenzako kumbuka nabii selemani alikuwa tajiri kupita wote duniani ila kuna kipindi mungu alimpa mtihani akawa hata Kula yake ni hadi akaombe kwa wavuvim
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…