ni kuendelea kumwamini na kumpa namba hadi atafaa, hawezi kuwa mzuri kwa kukaa benchi..Yeah sasa hivi kawa mzito ingawa Israel bado hajafikia standard za Kapombe ingawa alicheza vizuri sana game ya Red Arrows
Method Mogella fundi, alikuwa akicheza namba 8 mara moja moja, na bahati mbaya namb hiyo Hamis Thobiuss Gaga ndio yake..
Sasa katika zile mechi za Africa Mashril na kati, Simba ilikuwa inasumbuliwa sana na ulevi wa Kassanga Bwalya.
Simba vs Gor mahia, mtangazaji alikuwa ahmed Jongo, alisema nanukuu.. "namb nne ni Jamuhur Kiwelu, sentahalf ni Merhod Mogella, Method Mogella leo ni sentahaf.. halafu aka pause.." uwanja mzima ulifanya aaaaah...
lakn mkoba alioupiga siku ile, ikawa ndiyo Mwisho wa Bwalya pale Simba, na Method akawa tegemeo kwa Simba namb hiyo..
Israel aaminiwe, wakongwe wapewe dk chache za kuchoma ngiri timu ikiwa imeshashinda goli nyingi.