Jack Daniel
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 2,912
- 12,904
Elimu ni bahari
Elimu ni hazina
Elimu ni ufunguo wa maisha.
Hii ni baadhi ya misemo inayochochea na kuhamasisha umuhimu wa elimu.
Na muamko si mdogo Kwa miaka ya hivi karibuni ,Watu waliograduate ni wengi hali inayosababisha Ajira kuwa chache kwani mahitaji ni machache kuliko bidhaa zilivyojana sokoni.
Sehemu nyingi wanaajiri Kwa kuangalia mtiririko wa shule ulizosoma na vyuo pia.
Vyuo ambavyo siyo maarufu havikupi uwezo wa wewe kuonekana sana hata kama Una ujuzi badala yake ,anatazamwa mtoto wa fulani na kasoma wapi.
Hapa ndipo rushwa za ngono,pesa na udhalilishaji mwingine unapokuja ili mradi tu mtu apate ajira.wapo ambao wanasomq huku Ajira zikiwasubiri,washatengenezewa mazingira,hivyo mwenzangu na Mimi lazima uwe na backup kabla hujarudi kitaa na kujikuta unachanganyikiwa
Ewe kijana wa kiume usishindane na jinsia ke hata mkihitimu pamoja,mwenzio anachotegemea,wee hustle kupata vitu hivi jihangaishe, pambana usingoje Ajira.
1. Vitambulisho vya uhakika.
2. Leseni ya udereva
3. Passport
4. Kufanya kazi kadhaa za mikono
5.jifunze stadi mpya za maisha.
Utatoboa na pengine kusahau hiyo Ajira,au ukaajiriwa ukiwa na miradi yako.
chukua yanayokufaa.
Elimu ni hazina
Elimu ni ufunguo wa maisha.
Hii ni baadhi ya misemo inayochochea na kuhamasisha umuhimu wa elimu.
Na muamko si mdogo Kwa miaka ya hivi karibuni ,Watu waliograduate ni wengi hali inayosababisha Ajira kuwa chache kwani mahitaji ni machache kuliko bidhaa zilivyojana sokoni.
Sehemu nyingi wanaajiri Kwa kuangalia mtiririko wa shule ulizosoma na vyuo pia.
Vyuo ambavyo siyo maarufu havikupi uwezo wa wewe kuonekana sana hata kama Una ujuzi badala yake ,anatazamwa mtoto wa fulani na kasoma wapi.
Hapa ndipo rushwa za ngono,pesa na udhalilishaji mwingine unapokuja ili mradi tu mtu apate ajira.wapo ambao wanasomq huku Ajira zikiwasubiri,washatengenezewa mazingira,hivyo mwenzangu na Mimi lazima uwe na backup kabla hujarudi kitaa na kujikuta unachanganyikiwa
Ewe kijana wa kiume usishindane na jinsia ke hata mkihitimu pamoja,mwenzio anachotegemea,wee hustle kupata vitu hivi jihangaishe, pambana usingoje Ajira.
1. Vitambulisho vya uhakika.
2. Leseni ya udereva
3. Passport
4. Kufanya kazi kadhaa za mikono
5.jifunze stadi mpya za maisha.
Utatoboa na pengine kusahau hiyo Ajira,au ukaajiriwa ukiwa na miradi yako.
chukua yanayokufaa.