Ewe mwanaJF ulijisikiaje kutoingia JF kwa kipindi chote hiki?

tpaul

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2008
Posts
24,225
Reaction score
22,632
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Hakika nilijisikia vibaya na mnyonge sana baada ya JF kutokuwa hewani kwa takribani miezi miwili na ushee. Nilitamani hata niache kabisa kuingia kwenye mtandao wowote wa ikjamii ikiwa JF “isingefufuka”. Lakini kwa kuwa Mungu hawatupi waja wake, hatimaye wanaJF tumerejea tena kilingine kuendeleza gurudumu letu pale tulipoishia.

Mungu ni mwema. Hongera sana viongozi wa JF lakini poleni kwa misukosuko mliyopitia hadi kuturejesha tena hewani. Katika siku zote ambazo JF haikuwa hewani kwa sababu za kidikteta nimekuwa mnyonge sana huku nikiendelea kuvuta subira na kujipa matumaini kuwa ipo siku Mungu atatenda muujiza.

Je, wewe mwanaJF na mtumiaji sugu wa mtandao huu ulijisikiaje kipindi hiki ulipokuwa nje ya ulingo wa JF?
 
Niliishajiandaa kisaikolojia tangu jiwe aingie madarakani. Waliotega tego linawanasa wenyewe.
 
Nitatukana bure ila itoshe tu kusema kwamba,

SEHEMU PEKEE NINAYOIAMINI NA KUITEGEMEA KUPATA TAARIFA PIA KUBURUDIKA NI JF TU. UNAPOZIMA JF SIKUELEWI KABISA.

Siwezi kwenda kujichanganya na watoto fesibuku, au kwamaana nyingine ukizima Jf unataka niende badoo sijui kitu ambacho siwezi hata siku moja.
 
Hahahahahaha! Na kule badoo kuna mishankupe inavuruga akili hatariiiiiii!!!!
 
Niliumia sana yaani, hasa ukizingatia na Da Mange nae yupo likizo bas ni kama nilikuwa jela
 
Nlikua mtu wa ghadhabu tu..hadi nikabamiza ukutani simu...nilikua ovyo sana + Bebe nae alisafiri mbaya alipokuepo network ilikua ya ovyo..sikujitamani hata robo
 
Nilihamiaa instagram kwa kina chuchunge[emoji23][emoji39][emoji39][emoji23]
 
Vp
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…