Ewe mwanamke tumia uchawi wa kizungu ufuatao kupata pesa kutoka kwa mwanaume mbahili...

Ewe mwanamke tumia uchawi wa kizungu ufuatao kupata pesa kutoka kwa mwanaume mbahili...

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2018
Posts
448
Reaction score
409
ikiwa amekutongoza na ukampenda,basi hakikisha unakuwa wa kwanza kumualika Chakula hotelini na kama ni yeye mwanaume ndio kakualika hotelini kwa Chakula basi hakikisha wewe mwanamke ndio unalipia Chakula siku hiyo.

Hakikisha wewe mwanamke unatenga shilingi elfu kumi tu,unanunua vocha za jelo jelo kisha unakuwa unamnunulia kifurushi cha maongezi kila siku ishirini mfululizo,

Báada ya hapo uchune nakuhakikishia hata awe mwanaume wa Kipare,lazima moyo wake wa ubahili ulainike na atavunja kibubu kukujaza mahela

Akichomoa ujue huyo si mpenda tamu,ukweli bado ni nadra sana hutokea mwanaume kuhongwa na ikitokea mwanaume hujiona mwenye bahati,

Ndio sababu mama lishe hupendwa na wanaume maana wakimpenda mwanaume hawaoni noma kumhonga msosi Mara moja moja.

NB:Hamna mwanamke mbaya duniani,akinyimwa kimojawapo atapewa kingine,kama si chura basi atakuwa na sauti nzuri au Muondoko matata au pua au macho mazuri,mapaja au maziwa/chuchu nzuri au ranging nzuri au meno meupe au cheko/tabasamu zuri,kifupi lazima kimojawapo awe anacho

Na hakuna mwanamke mwenye sifa Zote hizo lazima zingine atakuwa Nazo na zingine atakosa.

instagram kaukwaju
 
ikiwa amekutongoza na ukampenda,basi hakikisha unakuwa wa kwanza kumualika Chakula hotelini na kama ni yeye mwanaume ndio kakualika hotelini kwa Chakula basi hakikisha wewe mwanamke ndio unalipia Chakula siku hiyo.

Hakikisha wewe mwanamke unatenga shilingi elfu kumi tu,unanunua vocha za jelo jelo kisha unakuwa unamnunulia kifurushi cha maongezi kila siku ishirini mfululizo,

Báada ya hapo uchune nakuhakikishia hata awe mwanaume wa Kipare,lazima moyo wake wa ubahili ulainike na atavunja kibubu kukujaza mahela

Akichomoa ujue huyo si mpenda tamu,ukweli bado ni nadra sana hutokea mwanaume kuhongwa na ikitokea mwanaume hujiona mwenye bahati,

Ndio sababu mama lishe hupendwa na wanaume maana wakimpenda mwanaume hawaoni noma kumhonga msosi Mara moja moja.

NB:Hanna mwanamke mbaya duniani,akinyimwa kimojawapo atapewa kingine,kama si chura basi atakuwa na sauti nzuri au Muondoko matata au pua au macho mazuri,mapaja au maziwa/chuchu nzuri au ranging nzuri au meno meupe au cheko/tabasamu zuri,kifupi lazima kimojawapo awe anacho

Na hakuna mwanamke mwenye sifa Zote hizo lazima zingine atakuwa Nazo na zingine atakosa.

instagram kaukwaju

Hapa ni ngumu kwa mwanaume kuruka
 
Wanawake karibuni aisee, me mbaili hatarii!! Mje kuthibitisha kama hiyo mbinu inafanya kazi!!!

Dunia hii, highly self determination ndo dili mengine kutishiana amani!!! Hizo mbinu mvulana hachomoi ila mwanaume anachomoa sana, kama wabisha natoa ofa, ambaye yupo ready mostly welcome!!
 
huu nao ujinga mpya, ninunuliwe msosi na vocha ndio nilainike?
 
Wengine tunapiga na kuondoka, ivo mbona raha kusepa na mpunga
 
Kuna
ikiwa amekutongoza na ukampenda,basi hakikisha unakuwa wa kwanza kumualika Chakula hotelini na kama ni yeye mwanaume ndio kakualika hotelini kwa Chakula basi hakikisha wewe mwanamke ndio unalipia Chakula siku hiyo.

Hakikisha wewe mwanamke unatenga shilingi elfu kumi tu,unanunua vocha za jelo jelo kisha unakuwa unamnunulia kifurushi cha maongezi kila siku ishirini mfululizo,

Báada ya hapo uchune nakuhakikishia hata awe mwanaume wa Kipare,lazima moyo wake wa ubahili ulainike na atavunja kibubu kukujaza mahela

Akichomoa ujue huyo si mpenda tamu,ukweli bado ni nadra sana hutokea mwanaume kuhongwa na ikitokea mwanaume hujiona mwenye bahati,

Ndio sababu mama lishe hupendwa na wanaume maana wakimpenda mwanaume hawaoni noma kumhonga msosi Mara moja moja.

NB:Hamna mwanamke mbaya duniani,akinyimwa kimojawapo atapewa kingine,kama si chura basi atakuwa na sauti nzuri au Muondoko matata au pua au macho mazuri,mapaja au maziwa/chuchu nzuri au ranging nzuri au meno meupe au cheko/tabasamu zuri,kifupi lazima kimojawapo awe anacho

Na hakuna mwanamke mwenye sifa Zote hizo lazima zingine atakuwa Nazo na zingine atakosa.

instagram kaukwaju
Kuna rangi mbaya?
 
Back
Top Bottom