Unajua ukiona Mwanaume JF jua ni mtu mwenye uwezo mpana sana.
Ofcoz wachache ndo wazinguaji ila asilimia kubwa ni Gentleman.
Hivyo, ewe dada, ukipata Dume huku au ukiona kuna dume linakuhitaji jua huyo nfo mwanaume kamili.
Haijalishi hana ela, gari au hata sura, ila kitendo cha yeye kuwepo humu jua ni Real Man.
This is home of great thinkers!!
Usichezee bahati.
Ofcoz wachache ndo wazinguaji ila asilimia kubwa ni Gentleman.
Hivyo, ewe dada, ukipata Dume huku au ukiona kuna dume linakuhitaji jua huyo nfo mwanaume kamili.
Haijalishi hana ela, gari au hata sura, ila kitendo cha yeye kuwepo humu jua ni Real Man.
This is home of great thinkers!!
Usichezee bahati.