Tena ndo wengiOoohh wapo hata mapopoma[emoji847]
HahahahahBora uwaambie maana kuna watu wanatuona humu kama mapazia ya kanisa.
Uliwahi washuhudia?Tena ndo wengi
Eeehh haya ngoja waje waokote almasi ya chupa [emoji38][emoji38][emoji38]Kiukwel mwanamke atakae pata bahati ya kuolewa na mimi atakua kaokota almas mtaa wa kongo.. Nafanya kila kitu nachoona kitafaa ili aje kuushi maisha ya furaha na amanii.. Usinitese tu we mwanamke
Hahahahah
Kanisa na mapazia [emoji38][emoji38][emoji38]
Kanisani kwetu hakuna pazia[emoji15][emoji15][emoji15] Unayajua yale mapazia.
Kanisani kwetu hakuna pazia
Miandiko yao inajidhihirishaUliwahi washuhudia?
HahahahahaTena ndo wengi
Kumbe inawezekana [emoji41]Utakuwa mlokole wewe.
Kumbe inawezekana [emoji41]
Sinaga vifungu PM aiseNaomba kukuomba kifungu kimoja PM kama unakijua.
Kile kifungu kinachosema "ukipigwa shavu la kulia mpe na la kushoto" kipo Mwanzo ngapi?Sinaga vifungu PM aise