Ewe mzazi usimbane mwanao wa kike. Wewe na mwanao mtakuja kulia vibaya sana

Ewe mzazi usimbane mwanao wa kike. Wewe na mwanao mtakuja kulia vibaya sana

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Ewe mzazi usimbane bane mwanao wa kike. Wewe na mwanao mtakuja kulia kilio cha mbwa koko

Dhama zimebadilika, mtoto wa kike hachungwi. Hatakiwi kubanwa banwa zaidi ya kupewa elimu ya ujinsia na uzazi ili ajitambue

Hizi habari za eti "Nikikukuta na kijana yoyote wa kiume umesimama naye nitakuvunja taya ya chini" zimepitwa na wakati, atatii kwa kuwa uko karibu naye, siku akipata nafasi ya kusogea mbali na wewe ujue wafwa.

Kuna familia ilihakikisha binti yao hatoki nje ya uzio ili kumuepusha na vijana waharibifu ila mwisho wa siku shangazi mtu alifuma dildo lenye size ya kutosha kwenye begi la nguo la binti, hakutaka kusemea kwa wazazi wa binti. Baada ya matokeo ya kidato cha nne, binti alifaulu na kwenda kidato cha tano, kwenye zile wanaita School Bush za welcome to Form Five alitikiswa tikiswa mapera akajikuta kaachanisha mapaja, kama mjuavyo mkono wa kupokea, binti akapata mimba kiulaiiiiiiini

Mwingine alilelewa kwa viboko vingi sana mpaka akili ikamtune kuwa kukaa ama kuzungumza na mwanaume au tu kucheka naye ni chukizo kubwa sana mbele ya Mwenyezi Mungu, ni kosa kubwa mbele ya wazazi na ni mtizamo mbaya sana katika jamii. O'level alisomea shule ya dini. Advance kaenda ugirlzini. Baada ya kuhitimu kidato cha sita akaenda chuo kwa tiketi ya kukosa mkopo, mwaka wa pili ada ikamshinda kulipa, akaamua kumpatia babu mmoja mzee zee bikra yake kwa eti kile kinachosadikika kusaidiwa kulipa ada, zee limedonyoa vya kutosha na ada haikulipwa. Kama msingembana bana binti yenu, hiyo tunu ya maisha yake si angempatia kijana ambaye angetokea kumpenda! Ona sasa kaunga damu yake swafi na ya mzee, agano la ovyo😭

Usimchunge mwanao wa kike kupita kiasi. Muachie muda wa kusocialize (Kujamiiana) na vijana wenzie, kubadilishana mawazo ya hapa na pale dhidi ya elimu na maisha.

MWambie ukweli kuwa akitokea kijana wa kiume akakudumbukizia dubwasha lake lenye kichwa huko ndani, utapata ujauzito.

Tafuta magazine zinazohusiana na njia za kujikinga dhidi ya magonjwa ya ngono, UKIMWI (ambao siku hizi haupo) na mimba zisizitarajiwa, tupia hata juu ya dining table, wacha hapo yazagae zagae, watoto wa kike ni wadadisi sana, ni lazima atayasoma tu na kugain kitu

Akikwambia Baba naenda kwao Magreth kujisomea, mwambie Nenda, ila rudi mapema kabla ya saa 12. Mtishe kidogo mwambie "Ukipata ujauzito nakutoroka". Hakikisha mwanao ni mdau wa mada za ujinsia, mtengeneze mazingira ya mijadala kama ya Fema & Femina Hip hasa hasa habari za akina mpwenda Aunt.

Usimbane bane mwanao wa kike, maake akipata chance ya kwenda mbali na wewe kikwazo, ujue wafwa.

Mwache mwanao dunia imzoee na yeye aizoee ili tupate kile tunachoita Sweetness Cycle

Msiseme sikuwaambia...
 
Kwa upande wangu, nimemuachia mama yao ndio ashughulike na malezi ya mabinti katika kuwaelekeza; kwa ubaharia wangu huu itaniumiza kichwa nikibeba hayo majukumu.​
 
Mleta mada umeangalia upande mmoja tu. Vipi mtoto akipewa uhuru halafu akachapwa na fataki na kupata mimba za utotoni? Vipi akimeza p2 mara nyingi kama maandazi na kisha kumsababishia ugumba ama utasa au kansa kabisa? Vipi akijiua baada ya kugundua kapata ujauzito akiwa mtoto?

Wazazi wanawabana watoto wa kike ili wawavushe salama ule umri wa utoto (under 18). Akifikisha miaka 20 ataamua atakavyo, kufanya atakavho ili mradi via vyake vya uzazi vimekomaa. Hapa mzazi anakuwa kaikwepa aibu na lawama.
 
Mabinti wenyewe unaowaongelea ndio hawa wanaojua hata wakitiwa mimba wanarudi shule? Ndio wanajua hata wakijirekodi video ya utupu na kuzisambaza mtandaoni watatetewa na wanaojiita watetezi wa haki za mwanamke? Ndio hawa wanaojua hata wakifanya ngono kiholela holela hawawajishwi na jamii wala sheria?. Kwa huu ujinga ulioandika hapa binti yako anaesoma akipewa ujauzito bado utalalamika?. Nini kimetupa vijana wa kiume, mbona tumekua na akili za ajabu ajabu sana.!
 
mtoto wakike hana faida yoyote kwanza.

mtugani akianza kubarehe kichwa kinawaka moto😕😕

mdawote unawaza atagongwa namasela wamtaani☹️☹️

inafika hatua unawakasirikia vijana wamtaani ilitu kiwaogopesha wakuone wewe nimkali wasimzoee mwanao

lakini haisaidii kitu wanampachika mimba😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

nawapenda sana watotowangu wakiume nawekeza kwao

haiwezekani jitu naliagiza likasome linaenda kwawanaume🙁🙁🙁
 
Hii tabia ya kupangiana maisha inataka kukithiri humu jf.
Mm nadhani kila mtu amlee mtoto wake kwenye malezi ambayo yeye kwa mtazamo wake ataona ni sahihi.

Yaani mtoto nizae mwenyewe alafu unipangie jinsi ya kulea?
 
Back
Top Bottom