Ewe unayetaka ndoa, ukitaka maisha ya stress na mshikemshike oa huku

Ewe unayetaka ndoa, ukitaka maisha ya stress na mshikemshike oa huku

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Kama wewe sio mtu wa pande hizo, acha kabisa mawazo ya kuoa huko:

Kwa kina Mura - Wakurya na wenzao Wajaluo (huko kuna ubabe, vurugu, na utemi mwingi kwa pande zote, wanaume na wanawake, ndiyo maisha ya kawaida. Hapa muda wowote kinawaka. Kama hujazoea mazingira ya vurugu, tafrani, na mtifuano, hapa hapakufai).

Wagogo wa Dodoma pamoja na jamii za ukanda wa pwani - Wazaramo, Wandengereko, Wabondei - sehemu kubwa ya maisha yao ni starehe na uvivu. Hawapendi mshikemshike wa kujishughulisha. Ni watu wa kuridhika haraka na hawana kiu ya kuwa na maisha bora. Hatuwalaumu bali tunawaelezea jinsi walivyo.

Waha wa Kigoma, Wandali wa Ileje, Wanyamwanga, na wenzao Wanyiha pande za Mbozi, mkoa wa Songwe - huko hataria. Hapa ni nyumbani pa mambo ya sangoma a.k.a shirki a.k.a ulozi na mengine kama hayo. Kwa hiyo, chaguo ni lako.

Wapare, Wameru wa Arusha, na wenzao wa Kichagga - huko sina haja ya kurudia maana habari zao zimejaa lukuki, uchague mwenyewe tu kuzifuatilia au la.

Usiseme hatukukwambia.

Lengo la uzi sio kuchafuana bali ni kuelezana ukweli mtu mwenyewe aamue na Mola wake.

Huu ni mtazamo wa ujumla wa jamii kwa watu hawa. Ila tabia ya mtu mmoja mmoja inaweza kuwa tofauti.

Sosi ni nyuzi mbalimbali zilizoletwa hapa JF.
 
People are slaves of their own experience,
Wachaga wameoa wakurya, wajaluo, and vice versa, Wazarsmo, wameoa, wahaya, wachaga and vice versa,
Ni, ujinga ku generrize kila kitu, stereo typing doesn't work and apply on Generation z, hayo Mambo ya ku ogopa wahaya eti ni Malaya, au, wachaga watakuua wachukue Mali, au, wasukuma hawana table manners yalikuwa, ya enzi, za Giza na wahenga
 
Uliposema wagogo ni watu wa pwani, nikaacha kuuzingatia uzi huu 👇
Kama nawew sio mtu wa pande izo acha kabisa mawazo ya kuoa uko

Kwa kina mura - wakurya na wenzao wajaluo (uko ubabe vurugu na utemi mwingi kwa pande zote wanaume na wanawake ndo maisha ya kawaida, apa muda wowote kinawaka. kama wew hujazoea mazingira ya vurugu tafrani na mtifuano hapa hapakufai)

wagogo pamoja na jamii za ukanda wa pwani - wazaramo wandengereko wabondei - hawa sehemu kubwa ya maisha yao ni starehe na uvivu. hawapendi mshikemshike wa kujishughulisha ni watu wa kuridhika/kubweteka haraka hawana kiu ya kuwa na maisha bora. apa hatuwalaumu bali tunawaelezea jinsi walivyo.

waha wa kigoma, wandali wa ileje uko, wanyamwanga na wenzao wanyiha pande za mbozi mkoa wa songwe uko hatarias - hapa ndo nyumbani pa mambo ya sangoma aka shirki aka ulozi na mengine kama ayo. kwaiyo chaguo ni lako.

wapare, wameru arusha moja iyo na wenzao wa kichagga - huko sina haja ya kurudia maana habari zao zimejaa lukuki uchague mwenyewe tu kuzifuatilia au la.

usiseme hatukukwambia.

lengo la uzi sio kuchafuana bali ni kuelezana ukweli mtu mwenyewe aamue na mola wake.

huu ni mtazamo wa ujumla wa jamii kwa watu hawa. ila tabia ya mtu mmojammoja inaweza kuwa tofauti.

Sosi ni nyuzi mbalimbali zilizoletwa hapa jF
 
Mimi ni mjaluo, najivunia kua mjaluo sio kwamba ni utemi au ubabe ila hatupendi ujinga, kabla sijaoa nilidate na wanawake wa mikoa mingine, wachaga n.k yaani hao wanamambo mengi sana, hawapo real, yaani unakuta anazoea na wanaume wengine hovyo hovyo, sasa usiwe mbabe kwa aina ya mwanamke kama huyo? Nikarudi zangu Shirati kumchukua nyartegi.
 
People are slaves of their own experience,
Wachaga wameoa wakurya, wajaluo, and vice versa, Wazarsmo, wameoa, wahaya, wachaga and vice versa,
Ni, ujinga ku generrize kila kitu, stereo typing doesn't work and apply on Generation z, hayo Mambo ya ku ogopa wahaya eti ni Malaya, au, wachaga watakuua wachukue Mali, au, wasukuma hawana table manners yalikuwa, ya enzi, za Giza na wahenga
Kizazi hiki kwa kubishana na wazee Hamjambo! Ila kenge kusikia kwake ni mpaka atoke damu puani.
 
Demu wangu wa ujana alinifukuza na panga kisa nimeenda bila mboga Wala Hela. Daah Cha ajabu anakuja situka imoo. Sasa Huwa nawaza nna ya kwenda kumleta huyo mtoto saivi miaka4 sijawahi enda hanijui simjui tunaongea Kwa simu.

Najiuliza kama binti alinichukulia panga na kunitoa nduki vipi kaka zake na baba yake si nitarudi Sina jicho Moja na sikio? Wajita mpo Hivi?
 
Kama nawew sio mtu wa pande izo acha kabisa mawazo ya kuoa uko

Kwa kina mura - wakurya na wenzao wajaluo (uko ubabe vurugu na utemi mwingi kwa pande zote wanaume na wanawake ndo maisha ya kawaida, apa muda wowote kinawaka. kama wew hujazoea mazingira ya vurugu tafrani na mtifuano hapa hapakufai)

wagogo wale wa dodoma pamoja na jamii za ukanda wa pwani - wazaramo wandengereko wabondei - hawa sehemu kubwa ya maisha yao ni starehe na uvivu. hawapendi mshikemshike wa kujishughulisha ni watu wa kuridhika/kubweteka haraka hawana kiu ya kuwa na maisha bora. apa hatuwalaumu bali tunawaelezea jinsi walivyo.

waha wa kigoma, wandali wa ileje uko, wanyamwanga na wenzao wanyiha pande za mbozi mkoa wa songwe uko hatarias - hapa ndo nyumbani pa mambo ya sangoma aka shirki aka ulozi na mengine kama ayo. kwaiyo chaguo ni lako.

wapare, wameru arusha moja iyo na wenzao wa kichagga - huko sina haja ya kurudia maana habari zao zimejaa lukuki uchague mwenyewe tu kuzifuatilia au la.

usiseme hatukukwambia.

lengo la uzi sio kuchafuana bali ni kuelezana ukweli mtu mwenyewe aamue na mola wake.

huu ni mtazamo wa ujumla wa jamii kwa watu hawa. ila tabia ya mtu mmojammoja inaweza kuwa tofauti.

Sosi ni nyuzi mbalimbali zilizoletwa hapa jF
Mkuu hivi unaijua shida ya kuoa mwanamke asie na kazi au hata hajishughurishi na chochote?
 
Kama nawew sio mtu wa pande izo acha kabisa mawazo ya kuoa uko

Kwa kina mura - wakurya na wenzao wajaluo (uko ubabe vurugu na utemi mwingi kwa pande zote wanaume na wanawake ndo maisha ya kawaida, apa muda wowote kinawaka. kama wew hujazoea mazingira ya vurugu tafrani na mtifuano hapa hapakufai)

wagogo wale wa dodoma pamoja na jamii za ukanda wa pwani - wazaramo wandengereko wabondei - hawa sehemu kubwa ya maisha yao ni starehe na uvivu. hawapendi mshikemshike wa kujishughulisha ni watu wa kuridhika/kubweteka haraka hawana kiu ya kuwa na maisha bora. apa hatuwalaumu bali tunawaelezea jinsi walivyo.

waha wa kigoma, wandali wa ileje uko, wanyamwanga na wenzao wanyiha pande za mbozi mkoa wa songwe uko hatarias - hapa ndo nyumbani pa mambo ya sangoma aka shirki aka ulozi na mengine kama ayo. kwaiyo chaguo ni lako.

wapare, wameru arusha moja iyo na wenzao wa kichagga - huko sina haja ya kurudia maana habari zao zimejaa lukuki uchague mwenyewe tu kuzifuatilia au la.

usiseme hatukukwambia.

lengo la uzi sio kuchafuana bali ni kuelezana ukweli mtu mwenyewe aamue na mola wake.

huu ni mtazamo wa ujumla wa jamii kwa watu hawa. ila tabia ya mtu mmojammoja inaweza kuwa tofauti.

Sosi ni nyuzi mbalimbali zilizoletwa hapa jF
lengo ni kutuchafua wakurya huko kwingine umepita tu
acha uoga. wewe oa tu
 
Kama nawew sio mtu wa pande izo acha kabisa mawazo ya kuoa uko

Kwa kina mura - wakurya na wenzao wajaluo (uko ubabe vurugu na utemi mwingi kwa pande zote wanaume na wanawake ndo maisha ya kawaida, apa muda wowote kinawaka. kama wew hujazoea mazingira ya vurugu tafrani na mtifuano hapa hapakufai)

wagogo wale wa dodoma pamoja na jamii za ukanda wa pwani - wazaramo wandengereko wabondei - hawa sehemu kubwa ya maisha yao ni starehe na uvivu. hawapendi mshikemshike wa kujishughulisha ni watu wa kuridhika/kubweteka haraka hawana kiu ya kuwa na maisha bora. apa hatuwalaumu bali tunawaelezea jinsi walivyo.

waha wa kigoma, wandali wa ileje uko, wanyamwanga na wenzao wanyiha pande za mbozi mkoa wa songwe uko hatarias - hapa ndo nyumbani pa mambo ya sangoma aka shirki aka ulozi na mengine kama ayo. kwaiyo chaguo ni lako.

wapare, wameru arusha moja iyo na wenzao wa kichagga - huko sina haja ya kurudia maana habari zao zimejaa lukuki uchague mwenyewe tu kuzifuatilia au la.

usiseme hatukukwambia.

lengo la uzi sio kuchafuana bali ni kuelezana ukweli mtu mwenyewe aamue na mola wake.

huu ni mtazamo wa ujumla wa jamii kwa watu hawa. ila tabia ya mtu mmojammoja inaweza kuwa tofauti.

Sosi ni nyuzi mbalimbali zilizoletwa hapa jF
MUONENI KATAA NDOA ANALALAMIKA 🐒
 

Attachments

  • 320969727_897297524605444_3345323079184345802_n.mp4
    1.8 MB
Back
Top Bottom