Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Hivi nyie ndugu hawa watu wamekekwa kutuibia tu au ndio mtaji wa ccm 2010,ukienda kwenye bili za umeme wanakata pacent 1,
ukija kwenye mafuta wanashabikia kweli kwenye kupandisha
bei hivi sasa bei ya mafuta imeshuka asilimia 54 na serikali na hawa
manyagunyangu wanaona na wanajua,,majuzi atio kamesimama
kaboci chao kadai tunawapa wiki moja kupunguza mafuta y??????
Mafuta yameshuka yana miezi miwili sasa huyu kunguru anataka kushusha ndani ya wiki moja anaona watanzania mapunda kweli
nyie watu wa ewura komeni na acheni kucheza na maisha ya watanzania hata kama ni sehemu yenu ya kupatia riziki tuwaheshimu na kuwasaidia watanznaia popote
na si kuwagandamiza kama mnavyodfanya
mungu awape utisho na soon watanzania watachoka na kuamua kuishi wanavyotaka sijui mtakula wapi
wenu:mtakula milungula mpaka lini nasikia tabia yenu kupita kwenye vituo na kuomba ten per mtu asipunguze bei hamuoni mnawanyima haki watanania jamani nyie watu hamna aibu
mtanzania halisi
ukija kwenye mafuta wanashabikia kweli kwenye kupandisha
bei hivi sasa bei ya mafuta imeshuka asilimia 54 na serikali na hawa
manyagunyangu wanaona na wanajua,,majuzi atio kamesimama
kaboci chao kadai tunawapa wiki moja kupunguza mafuta y??????
Mafuta yameshuka yana miezi miwili sasa huyu kunguru anataka kushusha ndani ya wiki moja anaona watanzania mapunda kweli
nyie watu wa ewura komeni na acheni kucheza na maisha ya watanzania hata kama ni sehemu yenu ya kupatia riziki tuwaheshimu na kuwasaidia watanznaia popote
na si kuwagandamiza kama mnavyodfanya
mungu awape utisho na soon watanzania watachoka na kuamua kuishi wanavyotaka sijui mtakula wapi
wenu:mtakula milungula mpaka lini nasikia tabia yenu kupita kwenye vituo na kuomba ten per mtu asipunguze bei hamuoni mnawanyima haki watanania jamani nyie watu hamna aibu
mtanzania halisi