EWURA wekeni msisitizo ujenzi wa vituo vya gesi badala ya mafuta

EWURA wekeni msisitizo ujenzi wa vituo vya gesi badala ya mafuta

mwanamichakato

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2015
Posts
1,188
Reaction score
1,090
Kumekuwa na mahitaji makubwa ya vituo vya gesi kutokana na wingi wa watumiaji kwa sasa.

Nadhani ingekuwa busara sana kwa Ewura kusitisha utoaji leseni za vituo vya mafuta (petroli na diesel) na hasa kwenye miji mikubwa au majiji.

Ni matumaini yangu itasaidia ktk kujenga uchumi kwa kuepusha matumizi makubwa ya uagizaji mafuta toka nje.

Mwisho ni uhifadhi mazingira kupitia matumizi ya nishati rafiki (Pollution control).
 
Oya hilo ni jambo la muhimu sana boss gesi tunataka vituo vichache sasa tupoteze muda barabarani tupoteze muda kwenye foleni za kujazia gesi
 
Screenshot_20250122_224343_WPS Office (1).jpg
 
Back
Top Bottom