BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,732
- 5,006
Unawezaa ukadharau post za malalamiko hujui nani yuko humu na anasoma nini?
EWURA imeiita bodi ya Oryx kujieleleza kwanini wamepandisha bei ya gesi kuwa kubwa hivi
Msemaji wa EWURA alipoulizwa amesema ni kweli kuna kampuni tumeita viongozi wake ofisini waje kujieleza na waje na marekebisho gani wameamua kufanya kuhusu bei za gesi
Ahsanteni EWURA
watanzania kwanza gesi badae
EWURA imeiita bodi ya Oryx kujieleleza kwanini wamepandisha bei ya gesi kuwa kubwa hivi
Msemaji wa EWURA alipoulizwa amesema ni kweli kuna kampuni tumeita viongozi wake ofisini waje kujieleza na waje na marekebisho gani wameamua kufanya kuhusu bei za gesi
Ahsanteni EWURA
watanzania kwanza gesi badae