EWURA yashindwa kuthibiti wafanyabiashara ya Mafuta, ni siku ya tatu vituo vingi vimefungwa, wengine wapandisha bila tangazo la bei

EWURA yashindwa kuthibiti wafanyabiashara ya Mafuta, ni siku ya tatu vituo vingi vimefungwa, wengine wapandisha bila tangazo la bei

mgt software

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
13,778
Reaction score
7,145
Wana JF

Ni siku ya tatu mfululizo barabara ya dar bagamoyo vituo vingi havina mafuta. Hatuwezi kujua kama yamekwisha au yamefichwa kusubiri bei mpya. Kituo cha Bunju mianzini Lake Oil hicho kilifungwa jumamosi. Ninavyojua haiwezekani mafuta ya aina zote yakaisha siku moja, lazima mojawapobyawepo kwa muda Fulani, lakini Ew7ra imeacha wafanyabiashara kuichezea sharubu serikali.

Ni kituo kimoja cha Oilcom kinatoa huduma na bei ni Tshs. 1865 bei ambayo haijatangazwa kama sehemu ya mabadiriko
 
Kuongezea tu, sehemu nyingine yamepanda kimya kimya sijaona tangazo lile la ewura kama kawaida ila ukipiga *152*00# unapata taarifa za bei mpya tofauti na zilizotangazwa Julai 1, 2020.

Sasa sijui kinaendelea nini?
 
Kuongezea tu, sehemu nyingine yamepanda kimya kimya sijaona tangazo lile la ewura kama kawaida ila ukipiga *152*00# unapata taarifa za bei mpya tofauti na zilizotangazwa Julai 1, 2020.

Sasa sijui kinaendelea nini?
Ewura washaanza kuchoka au matajiri wamewa mfukoni. Inabifi mabosi wqchunguzwe
 
Nikawaida msimu wa uchaguzi unapo wadia wafanya biashara huishika serikali na kuiweka kwenye "ngwende" (begi)[emoji4]
 
Serikali ya kishamba halijawahi kufanikisha jambo lolote!
Kuongezea tu, sehemu nyingine yamepanda kimya kimya sijaona tangazo lile la ewura kama kawaida ila ukipiga *152*00# unapata taarifa za bei mpya tofauti na zilizotangazwa Julai 1, 2020.

Sasa sijui kinaendelea nini?
 
Wilaya ya ushetu nmepita jana petrol n tsh.2183 per litre.Nlishangaa dakika tano nikajaza kwa mbinde maana npo safarin huko
 
Back
Top Bottom