EWURA yatangaza bei mpya za mafuta

Nini kitafanya mwezi wa kumi yashuke?
Duuh hii na mimi nilipewa tip nikaanza ifanyia kazi nimesahau sababu niliyopewa...but ifanyie kazi utanikumbuka

NB: inabidi uondoe kila mwezi wa new financial year 01/07
 
Ni kukubaliana na hali na kufunga mkanda tu ili tuinue uchumi wetu ulioshuka hamna namna.
 
Cha moto tutakiona
 
Tusio na magari tuendelee kuomba bei ya mafuta ya kupikia ishuke....
 
Na ninaendelea kumshabikia. Kuuliza ni haki yangu ya msingi.
Nyie ambao baba zenu hawakuwafundisha upendo, baba akifika mnajificha uvunguni hamzijui hata haki zenu
Kazana kulipa kodi ya dhuluma , zurumati kaingia mtandaoni.
 
Na ninaendelea kumshabikia. Kuuliza ni haki yangu ya msingi.
Nyie ambao baba zenu hawakuwafundisha upendo, baba akifika mnajificha uvunguni hamzijui hata haki zenu
Umeenda kuulizia kodi za dhuluma au bado unademka ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…