Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama bado wampenda mpe mambo. Hakuna contraindication, kula maisha kufa kwaja-wana jf nisaidieni
wana jf nisaidieni
wana jf nisaidieni
Kuna aibu gani hapo, kama ub*o pengine ulimnyonya, au hata both sides alipitia. Pengine wewe unautamu wa ziada kuliko mkewe.
.
wa kazi gani tena huyo?
wana jf nisaidieni
Dear Pretty
Usipowaelewa wanaume kila x'bf wako akikutaka utampa tu! Unapotaka kufanya kitu jiulize kinakusaidia nini na kitakupeleka wapi? Jiulize vipi wewe ndo ungekuwa umeolewa na mumeo anamtaka x'gf wake halafu ukafahamu,inauma na asikudanganye mtu.
Angalau mwanaume akuone una msimamo na maisha yako pia heshimu ndoa yake! Kama anakupenda mjaribu tu amwache mkeo awe na wewe ndo uone wanaume wakoje,haitotokea manake!
Hata kama maisha ni mafupi na matamu,furahia na wengine siyo mume wa mtu! Mwisho wa siku utaumizwa tu mamii..