Asanteni wakuu wote mlionishauri. Nimepima ijumaa tarehe 27 Nov, na jibu ni hili: NEGATIVE
Ingawa nilitumia ndomu siku zote, bado nilikuwa na hofu ya kufa mtu! Lakini wameniambia bado nahitaji kupima tena (sijui ndio wananivutia muda wanijie na bad news kabisa?)
Kwa hiyo next appointment ni miezi 3 ijayo, siku ya alhamisi tarehe 19 February 2010, saa 3 asubuhi. Nimenunua diary mpya na kuweka alama tayari, wish me well wakuu zangu.
Asanteni wakuu wote mlionishauri. Nimepima ijumaa tarehe 27 Nov, na jibu ni hili: NEGATIVE
Ingawa nilitumia ndomu siku zote, bado nilikuwa na hofu ya kufa mtu! Lakini wameniambia bado nahitaji kupima tena (sijui ndio wananivutia muda wanijie na bad news kabisa?)
Kwa hiyo next appointment ni miezi 3 ijayo, siku ya alhamisi tarehe 19 February 2010, saa 3 asubuhi. Nimenunua diary mpya na kuweka alama tayari, wish me well wakuu zangu.
hongera sana mtu B kwa ujasiri wa hali ya juu uliouonyesha naamini utaendelea kuwa makini katika pitapita zako
huo ni mwanzo mzuri kwako
nilikuwa navuta muda tu nije kukuuliza
Hongera sana mtu B.Sasa usidanaganyike tena
Dah hongera sana mkuu,hiyo miezi 3 wamekupa incase kama una maambukizi mapya umepata hivi karibuni.Lakini kama uliacha yale mambo kitambo sidhani kama una haja ya kuwa na hofu.
Once again HONGERA! na ujitunze>
huwezi kuamini dadangu tangu hili sakata limeanza hata kiungo husika kimekufa ganzi kabisa, kama vile sinacho tena! Hata hapa JF nilikuwa nakuja nasoma thread hii tu naondoka!
Kuna demu alikuwa girlfriend wangu zamani, majuzi kaonekana kitaa anahamasisha masuala ya UKIMWI na amejitangaza laivu kuwa na yeye pia anayo ngoma. Washkaji kibao wanaelewa nilikuwa namega. Lakini mie siku zote nimetumia kondomu. Sasa tangu amejitangaza huyo demu napigiwa simu na sms kibao za kunipa pole kama vile nami pia nina ngoma! Kwa kadri ninavyojua ngoma inaenea kwa kufanya ngono zembe, na mimi sikufanya hivyo hata siku moja.
Najua hata nikitangaza redioni kuwa mi sina ngoma watu hawataniamini, na sasa naona hata mchumba nitakosa, maana hii habari ni mbaya kinoma!
Nishaurini wakubwa. Naomba msinishutumu mnaposhauri, sikupanga yatokee kama yalivyotokea. Nifanyeje niaminike? Tabia flani mbaya nilizokuwa nazo zamani zote nimeacha, lakini naona hii ya huyu demu kujitangaza itatibua kila kitu!
fyatuka kimbia kapime ngoma! Ila mzee unalo hilo sijui kama utakamata demu kwenye mtaa wako hahaha! Pole sana
Pole sana mtu B, nadhani ulikuwa kwenye situation ambayo ni ngumu kuieleza, hapo kama nimekusoma Tatizo alikuwa sana kuwa na ngoma au la, bali Tatizo ni hukumu ambayo umeshapewa
na sio siri utabaki kuwa reference kwa baadhi ya watu kwa maisha yao yote, kwamba jamaa ni "keria ana ngoma zaidi ya miaka kumi lakini bado anadunda tu"
Naomba kuuliza jamani hivi Tanzania hakuna hizo KIT za kupimia ngoma, zile kama pregnant test
maana kama una KIT unaweza kwenda kwenye hivi vidispensary na ukawaomba wakutoe damu na kisha ukajifungia chumbani kwako na HIV test KIT yako na kujipima mwenyewe, sometimes haya mambo yanahitaji privace hata kama una ngoma lakini ukiwa the first to know kwa mtazamo wangu inasound vizuri
Mtu B, japo ulisema kule mwanzoni huna nia ya kujitangaza lakini ikiwezekana hebu jitolee kidogo ufanye kazi ya uhamasishaji kwa wengine. Hili ni fundisho kubwa sana ndugu yangu wapo wengi bado hawataki kutumia kinga. Ex-Girl friend na wewe mnaweza kutusaidia wengi tu kulielewa hili zaidi! Ni wazo tu
Kuna demu alikuwa girlfriend wangu zamani, majuzi kaonekana kitaa anahamasisha masuala ya UKIMWI na amejitangaza laivu kuwa na yeye pia anayo ngoma. Washkaji kibao wanaelewa nilikuwa namega. Lakini mie siku zote nimetumia kondomu. Sasa tangu amejitangaza huyo demu napigiwa simu na sms kibao za kunipa pole kama vile nami pia nina ngoma! Kwa kadri ninavyojua ngoma inaenea kwa kufanya ngono zembe, na mimi sikufanya hivyo hata siku moja.
Najua hata nikitangaza redioni kuwa mi sina ngoma watu hawataniamini, na sasa naona hata mchumba nitakosa, maana hii habari ni mbaya kinoma!
Nishaurini wakubwa. Naomba msinishutumu mnaposhauri, sikupanga yatokee kama yalivyotokea. Nifanyeje niaminike? Tabia flani mbaya nilizokuwa nazo zamani zote nimeacha, lakini naona hii ya huyu demu kujitangaza itatibua kila kitu!
Natamani ingekuwa kweli yuko kikazi au kisanii, lakini kwa jinsi ninavyomfahamu personality yake yule hawezi kucheza maigizo ya hivyo, itakuwa ni kweli ngoma!
Kupima niko tayari na jibu la positive siliogopi, lakini kinachoniumiza zaidi ni haya matangazo, maana mimi siko tayari kujitangaza. Lakini kwa kujitangaza kwake ni kama keshanitangaza na mimi tayari hata kama jibu langu litakuwa negative.
Mkuu wewe cha kufanya ni kupima kama ulikuwa hujafanya hivyo, na kama ni negative basi nawe jitangaze kwamba afya yako iko njema kabisa, hujagusa mawayawaya na hata mchumba unaweza kabisa kupata hata kama anajua ulikuwa unamega huyo muathirika maana unaweza kumdhihirishia kwamba mambo yako ni safi kwa kupima pamoja naye.