ex-girlfriend anataka nizae nae

Hataki kumbukumbu yako anataka ukaribu.
Ukishazaa nae mtoto atawaunganisha.
Stuka.
 
Wewe mkuu inaonekana unasumbuliwa na uzinzi tu, kama alikataa wakati ule imekuwaje tena sasa hivi awe karibu na wewe na kukupa mawazo ya kish**ati na wewe unayakubali kama zuzu, si alikataa sasa tena nini!! Huyo ashakupima akili zako akaona hazikutoshi sasa anakutega... nakuapia siku utakayozaa nae anavunja ndoa yako live I swear!! Anachotaka ni kuvunja ndoa yako tu na si kingine!!
 
yalikuwa tayari yanikute hayo lakini mungu ndie aliyesaidia, kweli napiga goli moja kwa mwezi na nilikuwa nina vitu vyote vya kukaribisha hiyo kitu na bado ninavyo kwani wapo wengi tu mpaka bosi wangu alikuwa tayari, ilibidi niache kazi bila mtu kujuwa mpaka leo bado hakuna mtu aliyejuwa ndio leo nasema hapa,
ukiangalia mamawatoto akija na kitu hiyo uko tayari? ukikubali kweli na ukaandika kuwa umekubali hiyo itakuwa haitaji msaada wa mawazo zaidi nitasema nenda Mirembe wakakuangalie
Dini yako kama inaruhusu chukuwa kwa jumla
 

sa unasubir nini wkt beiib anataka chapa yako? hebu piga mzigo
 
Yaani member wote 45 mliochangia mnajifanya hamna wazinzi kati yenu! huu sio uongo jamani? Mbona Tanzania hisinge kuwa na nyumba ndogo wala ATM na Taifa lingebarikiwa sana.
 
kataa kama ulishamtambulisha kwa my wife wako kuwa yy ni rafiki yako au kubali kumzalisha ili tuijaze dunia
 
Tena nikwambie kama ulikuwa hujui wakati ule anakataa kuolewa sio kwamba hakuwa tayari sijui sababu ya shule mara wazazi no! ni kwasababu alikuwa na mwanaume mwingine aliyekuwa anamzingua hivyo vilikuwa ni visingizio tu, sasa hivi amemwagwa ndio anataka kuja kumharibia mwenzie furaha aliyoikataa yeye. Achana naye kabisa!
 
kaka kosa kubwa ulilifanya kundeleza mawasiliano, ulipoamua kuoa ulitakiwa kuacha kabisa mawasiliano ama mawasiliano kuwa 1%. sasa ndoa yako ni muhinu kwa mtazamo wangu, so mpotezee na umwambia akome kabisa.

ama mzee bado unampeda??? watch out.. moto huoooo
 
Yaani member wote 45 mliochangia mnajifanya hamna wazinzi kati yenu! huu sio uongo jamani? Mbona Tanzania hisinge kuwa na nyumba ndogo wala ATM na Taifa lingebarikiwa sana.

watu 45 ni wadogo sana kutoa hiyo conclusion yako.
 
Unapotuuliza kama uzae nae ama la ina maana mnaendelea kuchakachua???? Jamani, hamzihurumii familia zenu kila kukicha mnawaza kuzijengea mauza uza ya kudumu jamani???? Hapo kweli unataka ushauri ama unataka kuelezwa nini??? Wewe binafsi unatoka kwenye familia yenye watoto mchanganyiko na mama mchanganyiko?? Fikiri kabla ya kutenda, majuto mjukuu.
 
Ukizaa Nje ni kumkosea Heshima mKEO KAMA uLIKUWA UNATA HIVYO HUKUWA NA SABABABU YA KUOA.
 
huyo nae ni wa wapi??? nani kamwambia katoto ndo kumbu kumbu? hiyo miaka mitatu iliopita amekumbushwa na nini? aende zake huko asivuruge ndoa ya mwenziwe, apo ndo atakuganda na mahitaji ya mtoto maisha yote na anaweza kuleta katoto akakabwaga hapo nyumbani ili kaanze kuchakachukachuwa ndoa yako.
huyo tapeli wa mapenzi achana nae , mie najuwa mtu akikukaa kumoyo akikutajia ndoa hata kama uko shule ya chakechea huangalii. unachoangalia ni vipi vya kumganda usimpoteze.:teeth:
 
thubutuuuu... kama hajipendi basi afanye hapo penye red...
 
hapana bana ww mwambie kuzaa no,ila najuwa kwa ukaribu huo lazama mna du
 
Kijana nakushauri umwambie ukweli ule ulioko moyoni mwako ya kwamba sasa wewe ni mme wa mtu na si zaidi ya hivyo!.

Na usipokuwa mkweli katika hili kuna hatari mbele yako huu ni uhusiano hatari zaidi kwani ndoa yako iko mbioni kuparaganyika ndugu yangu.

Wee acha hiyo habari!!!!!!!.
 
Kaka mbona jibu unalo afu unatusumbua? Utazaaje na m2 mwingne ilihali una ndoa yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…