EX wangu ananitumia picha zake bila mimi kumuomba

EX wangu ananitumia picha zake bila mimi kumuomba

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,466
Reaction score
18,206
Hi kitu nashindwa kuelewa malengo yake Ni nn ,Ni kunionesha kuwa amenenepa au kunanin?
Jana na leo naona ananitumia picha zake na kutaka pia Zangu nimtumie anasema hajaniona Muda mrefu .mm huwa sipost Wal kuview page za watu wa kawaida sanaa Kama unafanya biashRa ndio huwa natazma dp yako Sasa ameona sitazamagi dp yake akaone atume kbsaa picha zake

Nikamuuliza za nn akasema mbna hauko romantic wewe " kila kitu ubabe ubabe kwako

Vipi wakuu Kuna nn anataka
 
Hi kitu nashindwa kuelewa malengo yake Ni nn ,Ni kunionesha kuwa amenenepa au kunanin?
Jana na leo naona ananitumia picha zake na kutaka pia Zangu nimtumie anasema hajaniona Muda mrefu .mm huwa sipost Wal kuview page za watu wa kawaida sanaa Kama unafanya biashRa ndio huwa natazma dp yako Sasa ameona sitazamagi dp yake akaone atume kbsaa picha zake

Nikamuuliza za nn akasema mbna hauko romantic wewe " kila kitu ubabe ubabe kwako

Vipi wakuu Kuna nn anataka
Anataka kukubaka, akukule operamini, kuwa naye makini sana.
 
Hi kitu nashindwa kuelewa malengo yake Ni nn ,Ni kunionesha kuwa amenenepa au kunanin?
Jana na leo naona ananitumia picha zake na kutaka pia Zangu nimtumie anasema hajaniona Muda mrefu .mm huwa sipost Wal kuview page za watu wa kawaida sanaa Kama unafanya biashRa ndio huwa natazma dp yako Sasa ameona sitazamagi dp yake akaone atume kbsaa picha zake

Nikamuuliza za nn akasema mbna hauko romantic wewe " kila kitu ubabe ubabe kwako

Vipi wakuu Kuna nn anataka
Huyo anataka kujirudisha. Amegundua huko alipo ni pabaya. By the way mliachana kwa staili ipi? Nani alimuacha mwenzie tuanzie hapo
 
Hi kitu nashindwa kuelewa malengo yake Ni nn ,Ni kunionesha kuwa amenenepa au kunanin?
Jana na leo naona ananitumia picha zake na kutaka pia Zangu nimtumie anasema hajaniona Muda mrefu .mm huwa sipost Wal kuview page za watu wa kawaida sanaa Kama unafanya biashRa ndio huwa natazma dp yako Sasa ameona sitazamagi dp yake akaone atume kbsaa picha zake

Nikamuuliza za nn akasema mbna hauko romantic wewe " kila kitu ubabe ubabe kwako

Vipi wakuu Kuna nn ana

Piga chini huyo. Ukijichanganya ukapashe kiporo umeisha
Kamsemee kwa Mama.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work
 
Back
Top Bottom