Ex wangu nampenda ila kampa mimba mwanamke mwingine

Tafuta chaka jingine mambo yaende ila ukifikia 30 utakuja na uzi mwingine wa kutafuta
 
Sawa sasa wote tulikuwa na Miaka 23 mimi sina kazi japo yeye alikuwa nayo… kweli ningemzaliaje hapo..

Na mpango wa kuoa bado hata sasa bado hawezi kunioa kwasababu ya mambo fulani fulani kazini kwake

Nimeogopa kuwa single maza
Mbna kama unaelekea kua singo maza sasa??
Maana usipomzalia huyo, utamazalia jamaa mwingine usiempenda.
Utakua unacheat na huyo mwisho jamaa atakuacha utakua single maza.
 
ulinyima mtoto mayai ulitaka ukaangie chips yai ule sio!?,, enewei nawewe move on

Kwaiyo nyie wote hapa leo mnanishauri ningezaa nae… kijana hata mpango wa kuoa hajui anaoa lini wewe mtu wa hivyo ungezaa nae kwelii
 
Kwaiyo nyie wote hapa leo mnanishauri ningezaa nae… kijana hata mpango wa kuoa hajui anaoa lini wewe mtu wa hivyo ungezaa nae kwelii
mbona mwenzio kazaa nae?,sasa kama lengo si kuoana mlikua mnadate for funny
 
Mbna kama unaelekea kua singo maza sasa??
Maana usipomzalia huyo, utamazalia jamaa mwingine usiempenda.
Utakua unacheat na huyo mwisho jamaa atakuacha utakua single maza.

Nyie wanaume humu ni wanafki. Si nyie mnakujaga kuponda singomaza mara usizae na mwanaume ambae sio mume wako leo hapa mnanishauri ningekubali kuzaa nae
 
Huna msimamo unaendeshwa na mihemko umekurupuka kumpa mimba mwanamke mwinginee for the sake of unahitaji mtoto under 27 una presha ya kupata mtoto hivyo
We are unpredictable
 
Mimi nataka nipindue kombe nichukue mimi huyo muache tu
Ndo umwambie sasa unavtotaka. Umesema kuwa yeye kasema anawataka nyote, lkn bado unataka uelezwe anataka nini kwako. Seriously.
 
mbona mwenzio kazaa nae?,sasa kama lengo si kuoana mlikua mnadate for funny

Sasa Kazaa na huyo anataka azae na mimi tena mpk sasa hajui nani anamuoa… huwezi kuwa seriously sizani Kama ningekuwa ndugu yako ungenishauri hivi
 
Sasa Kazaa na huyo anataka azae na mimi tena mpk sasa hajui nani anamuoa… huwezi kuwa seriously sizani Kama ningekuwa ndugu yako ungenishauri hivi
that's why nkakwambia move on nawewe,, that's enough
 
Ndo umwambie sasa unavtotaka. Umesema kuwa yeye kasema anawataka nyote, lkn bado unataka uelezwe anataka nini kwako. Seriously.

Ndio nielezwe akili yangu haielewi haraka
 
Nyie wanaume humu ni wanafki. Si nyie mnakujaga kuponda singomaza mara usizae na mwanaume ambae sio mume wako leo hapa mnanishauri ningekubali kuzaa nae
Sasa si mpenzi wako?
Kwani ukizaa ukiwa na ndoa hawezi kukuacha na ukawa singo maza pia?

Au unadhani usingle maza ni kuzaa kabla ya ndoa pekee??
Unaweza kuzaa kabla hamjaoana na bado mkawa wachumba ambao hamjahalalisha ndoa yenu kimila, kidini au kiserikali ila bado usihesabike kama singo maza maana baba mtoto bado mko na mahusiano.

Nadhani hapo uelewa wako juu ya usingle maza umekupotezea mpenzi.
 

Singomaza wanaopondwa hapa ni wengi waliozaa kabla ya ndoa na sio walioachwa ndani ya ndoa hebu pitia nyunzi za singomaza wanavyopondwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…