Akiwa Yanga galasa akiwa simba mwamba wa Lusaka au vipiSawa.....
Galasa hilo
Ameshaisha huyo....alikuwa mwamba wa lusaka.Akiwa Yanga galasa akiwa simba mwamba wa Lusaka au vipi
Kinyonge sanaFigo alishawahi hama kutoka Barcelona kwenda Madrid
Luis Enrique alihama kutoka Madrid kwenda Barcelona
Van Persie alihama kutoka Arsenal kwenda Manchester Utd
Yondani alishahama kutoka Simba akaenda Yanga, Nurdin Bakari, Okwi ......
Na kadhalika za kutosha
Nachotaka kusema sio mara ya kwanza na haitakua mara mwisho. Kama ni kweli akaenjoy mpira wake sisi wananchi tutamfurahia na makolo hakuna haja ya kuhuzunika
AaahahahaaAkiwa Yanga galasa akiwa simba mwamba wa Lusaka au vipi
Chama akicheza Simba ukatwe miguuKinyonge sana
Kinyonge na wakati ni tetesi za kuja jangwani. Mi kwangu shangweKinyonge sana