GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #301
naona unazidi kuwashwa tuu vp Kwan mmeo kasafiri nije?
kubwa jinga linachekelea kukamata wajinga wenzie
Hata Sir George Kahama alianza na 'My God...'Mkuu hivi kweli Ndugu zangu wa kule Uzanakini Mkoani Mara na Umakuani Mkoani Mtwara watakuelewa na hii lugha yako ya Malkia Elizabeth wa Uingereza?
Nakipenda sana Kiswahili changu / chetu.
haya na mmeo akirudi umsimulieSawa Mhenga Jinga a.k.a Kunguni Jike umesikika Mkuu.
yah vice-versa is trueVipi Kunguni Jike uko salama? Unampelekea saa ngapi the something hiyo Kunguni Dume ili awajibike nayo Kibaiolojia?
Kwa hiyo unaelekea kwenye akili za kitoto za uzee?!..Nimezidiwa miaka mitatu ( 3 ) tu na Mzee Mugabe wa Zimbabwe.
Hongera kwa kuwa na akili nyingi kama Profesa Lipumba..Ungekuwa tu na hata 10% tu ya IQ yangu si ungejivunia sana Mkuu kuliko hiyo yako ya 0.003% uliyonayo?
Naye ana asili ya huko. Soma PhD thesis ya prof .Fred Lerise." Migration in lower moshi.utaaminiAlbert Msando?
Christopher Msando, not Christian.So sad then.
Rest in peace Mr. Christian msando.
Mkuu ni play au unamaana ya pray.Play for kenya
Mkuu hivi huyu bwana hajapatikana tu ? Basi utakuwa ni uzembe wa Vyombo vyetu......!!!