Exclusive interview na Violeth Mzindakaya

mmakonde

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2009
Posts
965
Reaction score
68
Exclusive interview na Violeth Mzindakaya Mjumbe wa NEC.


Source: http://www.mohammeddewji.com/blog/
 
Huyu ni Violet Mzindakaya aka Sister V!Naona Mchuzi anatumia blogu yake kupromote watu hawa ,ambao they have got nothing ,just because their dads were in position.

Binti wa Makamba na kaka yake January kila mara habari zao ziko kwenye blogu!
Naona huyu anataka kuwa somebody,anyway tuko fools wengi Tanzania.ana shati la kijani ,ni mwana SISIEMU mzuri.
 
ndio nani huyu shori??
 
we all promote something swali ni je,what price do we pay? isije ikawa tunajishusha hadhi by doing that
 
huyu amepewa mahojiano na Michuzi kwenye blogu yake.Unajiuliza je ana nini cha maana kwa watanzania.I guess kuna Watz wa muhimu zaidi ,madoctor,nurses,policemen etc ambao wanaweza kupewa nafasi kuliko huyu nonsense.

watu wanaweza kuwa na dataz zake,so kujiweka hewani hivi,you get what you want!Publicity for nothing
 
Ndio tatizo kubwa sana tulilonalo kwa sasa. Inabidi kutafuta namna ya kuondoa mfumo huu wa watoto wa vigogo kupandikizwa katika nadhifa mbalimbali
 
Mzee Mzindakaya ametangaza kustaafu Ubunge kule kwao. Binti anaweza kumrithi babaye. Hatutashangaa. Wazee wengi wa CCM ndio wako kwenye mchakato huo.
 
Tupeni CV yake huyu binti.ukitaka publicity ,ukubali chochote
 

 
Mmakonde kwa nini umekerwa na mahojiano ya Violet na Michuzi? Kwa kuwa ni mtoto wa Mzindakaya? Au? Mimi sioni tatizo la hiyo interview. Kwani wewe ambaye siyo mtoto wa wakubwa umezuiwa kujitangaza? Wewe una tatizo la inferiority complex kutokana na malezi na kwa vile wazazi wako si wakubwa. Ungekuwa mtoto wa mkubwa ungefanya anachofanya si Violet tu. Chukulia akina Mwamvita Makamba, Nape Nnauye, Ridhwani Kikwete, Vita Kawawa, Zebine Mhita (binti wa Alhaji Omari Muhaji ambaye alikuwa mwanasiasa mashuhuri enzi ya Nyerere) na wengine wengi tu akina Nchimbi. Hawa wazazi wao waliwajenga wajiamini. Na huo ndiyo ukweli wenyewe. Hawa watakuja kuwa viongozi kwa sababu wazazi wao wanatokana na uongozi. JK baba yake alikuwa DC baada ya nchi yetu kupata uhuru wakati Babu yake alikuwa Chifu wa Wakwere. Haikwepeki. Kwa nini kwa sababu ya Universal Law of Attraction. Hiyo ni sayansi kubwa. Haisaidii kuipinga haipingiki ndugu yangu Mmakonde. Hawa waliumbwa ili watawale na watatawala. Hata Freeman Mbowe baba yake alikuwa mwanaharakati maarufu ambaye alimsaidia sana Mzee Nyerere. Someni historia jamani na muache ushabiki wa Kiyanga na Simba kwenye mambo ya maana.
 
Acheni hizo! Blogu ya jamii ile, watu wanamtumia na yeye anaziangalia kama zipo poa na anapost/upload kwenye blogu yake. I don't think its a matter of him doing the publicity.

Vilevile, hivi ukienda jimboni au sehemu yeyote yenye demokrasia si utachagiliwa kwa kupigiwa kura? Sasa tatizo lipo wapikama mtu baba yake alikuwa akichaguliwa kwa kura naye akajitosa kujaribu kuchaguliwa? Sidhani kama ni jambo lu "kurithi". Besides, nani aliyesema watotot wa viongozi wasigombee kuchaguliwa?

Some pipo bwana!!!!
 
Katika umri mdogo tu wa miaka isiyozidi 23 tayari ana X husband! Kaachika?!
 
Hivi watoto wa wanasiasa nao lazima wawe wanasiasa by default? Hii ndo inaleteleza wanasiasa wasiokuwa commited au wasiokuwa na uchungu na nchi yao kwani walikuwa wanasiasa kwa sababu wazazi wao wamewaconvince. I like Madaraka Nyerere kwani hajihusishi na siasa na ameweka kwazi kwamba hiyo ilikuwa dream ya mzee lakini yeye ana derams zake nyingine!
 
huyu dem ni mtangazaji wa clouds fm?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…