Anasema hawajaachana ila amemuacha! Halafu yupo busy kumchafua mwenzie kwenye social media !!! Kitu gani kinamuuma?!!! Bi.tch please, she got some paper but I guess she's missing a good di.ck, yeye mwenyewe Ma.la.ya tu, mbona alimnyang'anya mwanamke mwenzie huyo Gardner? Nafikiri hukumbuki tena!!! Karma inamrudia mwenyewe.
Mbona unamkandia sana ndugu mtangazajiBaeleze baelewe! Kwani wengine hawafanyi ufuska? Lakini hawafanyi mbele za wake zao! Yeye alikua ni mwanaume asiye na adabu wala maadili wala mipaka! Inaelekea alikulia mtaani tu kama chokoraa fulani!
Asingeweza kuzungumzia mazuri maana anataka kuwaaminisha mashabili wake kuwa maamuzi aliyoyachukua ni sahihiWatu wanatoa ushuhuda wa ndani kama walikuwa wanakaa nao nyumba moja. Jamani ndoa ni taasisi ngumu ukikariri au kuiga style ya ndoa nyingine utaumia ni kama chenga uwanjani jinsi anavyokuja mtu ndo unavyompiga chenga. Gadner alikuwa muungwana alipoulizwa swali na salama katka mkasi sasa busara hiyo jide pia angeitumia sasa kaeleza mabaya tu ya mwenzie ina maana hakuna mazuri aliofanya? nayo atujuze.
Kweli upo siriuz
Hapo kwenye red, JD mwenyewe alilijua hilo kabla hata hajaamua kufunga naye ndoa na huenda ndicho kilichomfanya achanganyikiwe juu ya G; kutoka mwanamke wa Mwanza hadi kwa sekretary wa Kusaga. Iweje leo aone ni tatizo? After all kuwa kitombi ni kipaji, si wengi wanaomudu. JD was lucky enough!
Namvumilia kwani ananihusu nini?nimemuona 3 times live to be honest she is ugly tena anabahati alipata mtu[/QU
yaani ktk kuwakilisha hiii hoja yako hata kuweka ka lugha laini umeshindwa wewe Dada wewe???
Asingeweza kuzungumzia mazuri maana anataka kuwaaminisha mashabili wake kuwa maamuzi aliyoyachukua ni sahihi
Pdidy story yako uliyonijibu iko very touched. Ila mkuu sijui ni kwa nini typing yako leo imekaa ndivyo sivyo. Au kwa vile ni jumapili mchana mvinyo kidogo? Haha ha! Usijali imeeleweka.OK kwa wanaonifahamu nahisi nimashahidi was hili!!MNAMO 2005 NILIOA BINTI WA KIHAYA!!AKAJAKUNILETEA MAUZAUZA NDANIYAMWEZI SIITAJIKUWEKAHAPA NIMAMBOYANDANI KAMAVILE KUCHAPIWA SIRIYANDANI!!BIBIE NIKASHINDWA NIKAOMBAYAISHE NIKARUDIKUANZA MAISHAMAPYA!!!2006. JUN TUKAPEANA TALAKA!! 2007. NATOKA SWAZILAND USIKUHUOHUO NIMELALA GETO YAMAMAYANGU KIPENZI(RIP) NAPIGIWA SAA NANE!!USIKU!!KUANGALIA NAMBAYA XWIFE!! SIKUPOKEA!!MARAYAPILI ROHO IKASEMA POKEA!NIKAPOKEA NIKASIKIIASAUTIYAKE ANALIA ANAOMBAMSAADA ANAKUFA!!POPOTE NILIPO NIJE!!NIKAOMBA AMPE SIMU MTUMWINGINE NIONGEE NAE!!NIKAONGEA NAWALE WASHABIKI WA AJALI!!BANA BIBIEKAPAATA AJALI KUBWA TU HAPA KARIBU NAMLIMANI CITY!!MMH NIKAUMIA NIKAAMKA NIKAWASHA GARI!!BAHATI NILIKUWA NAKADIYAKE YA BIMA HATA BAADAYA KUACHANA!!NDUGU NILIPOFIKA NILIKUTA YEYE KAWEKWA PEMBENI NA BFRIENDWAKE YUKOHOI!!KAMA YUKOHUMU ATAKUWA SHAHIDI!!
MBAYA ZAIDI NIGARIYANGU NILIOMWACHIA !!ILIKUWA ROFF KABISA!!NIKAOMBA MMASAI AIANGALIE!!NIKABEBA YEYE NA BFRIENDD WAKE TO TMJ HOSPITAL!!NILIPOFIKA YEYE ALITUMIA KADI!!SHEMEJIYANGU AKA BFRIEND YYEYE ILIBIDI NIOMBE WATUMIE KADIYANGU MPAKA ASBH!!JAMAA AKASAFISHWA AKAPIGWA SINDANO ZA HAJA NKALETEWA BILI YAKE SAINI KARATASI ZA BIMA NIKASAINI!!!LEO AWE NASHIDA/SHEREHE YULE KAKA NIBESTYANGU INGAWA KILIKUJA MPINDIA MBELEYASAFARI!!!NAYO NI MAISHA!!SO HUJUI LINI XWAKO ATAKUSAIDIA WAPI!!NASEMA HILI MJUE!!AMTAKIWI KUWASILIANA SAWA!!LAKINI MEsICHAFUANE!!NAKAMA MNASHIDA !!RAHA JULISHANENI
shule nilionayo pengine ukoowenu amna kabisa ama mko 3uandishi majanga, shule yako nyembamba jitahidi sana kujisomea maana unaandika kitaarabu, taaarabu. Jizuie kuandika ujumbe kama unaimba taarabu. You need to improve your writting skills. Pole sana maana haya ni matokeo ya kusoma shule za kata, tena kijijini...
Nimepitia kwenye account yake G kusoma comment daaa aisee nimeona watu wanamponda sana hadi nimesikia huruma!Hey long time... is everything alright?
hajamchafua kaeleza ukweli.. sa kama mtu akisema we ni malaya na ni ukweli anakuwa kakuchafua au kaweka Fact straight...
Haaaaaaa Mpwa thread yako imenichekesha saana leo..
Hii part nayo imenichekesha zaidi
Mpwanimemjibu huyu pengine elimuyangu ukoowaowote wajumlishe namimbailiotumboni awana!!!else wako 2-4Anachukua PHD sasa hivi
Mpwambona sijakuonaAmen
Mpwa nakuja Calabash tuonane aisee
shule nilionayo pengine ukoowenu amna kabisa ama mko 3
guess??
Anachukua PHD sasa hivi