Exclusive: Jay Dee afunguka, atoa sababu za kuitosa ndoa yake

Hivi kwani ameshatoa wimbo mpya?

Ila kiukweli ukisikiliza nyimbo zake za zamani utasema haitakuja kutoa nyimbo nzuri kama zile na inaelekea huwa anawatungia watu..
Wanaume kama Mabint
Distance
Wanock nock
Siku hazigandi
 
Hivi kwani ameshatoa wimbo mpya?

Ila kiukweli ukisikiliza nyimbo zake za zamani utasema haitakuja kutoa nyimbo nzuri kama zile na inaelekea huwa anawatungia watu..
Wanaume kama Mabint
Distance
Wanock nock
Siku hazigandi
Habari mpya ya mjini ni ndi ndi ndi
 
Maisha ya ndoa hayana "formula". Kila mara mtu anapaswa kukumbuka jinsi walivyokutana na hatimaye kuoana na huyo mwenzi wake. Kinachotokea baada ya hapo ni wajibu wa kila mmoja kuistawisha ndoa. Hivyo basi Ni kosa kubwa kumshutumu mwenzi wako ndoa ikiteteleka, kwa kuwa wote mnahusika.

KUPENDA NI SIRI YA MTU
 
Nadhani humjui G wewe wala usimtetee. Bora kamuacha. Halafu kachelewa mbona sana kumuacha, yaani angemuacha kitambo. Tuulize sisi wapenda starehe. Maana gazeti halitoshi
Nkikumbuka 2009 2010, nlikuwa napitaga sana Zhongua pale. . Gadner kupga denda mademu amewapakata wakati mke wake yupo stejini ilikuwa kawaida sana

Na siku nyunbani lounge, jamaa alilewa akaanza fanya fujo

Yani kwa kweli pale aliingia cha kiume but experience is a better teacher
 
Nyie gadner ni muhuni afai, nshamuona sehemu nyingi za bata na vimwana
 
Ila Jamaa ni mstaarabu kwa kuongea, nafikiri kosa kubwa ni kumuacha mkewe, pia bado hajapata mtu sahihi mixer na mabinti kumshobokea basi kaka anachanganyikiwa
 
Jide amevuna alichopanda...
Alipomnyang'anya mwanamke mwenzake mume pale Mwanza kwa kutumia fedha zake alitegemea nini? Yule mwanamke alimuomba amuachie mume wake kwani wamezaa mtoto naye lakini Jide kwa jeuri hakutaka kusikia.

Unategemea nini kama umempata mume/mke kwa kutumia nguvu ya pesa zaidi ya mapenzi feki...
 


Tanzania kwa kweli hatuna waandishi wa habari bali Ze Comedy. Mtu umeshaambiwa nimemuacha mume kwa sababu alizozitaja na ziko wazi, muandishi bado anakazania eti kwa nini usirudiane na mumeo? This I just too stupid to read....hawa watu wanaajiriwa na nani jamani? Kikwete angekuwa madarakani basi angempa huyu mwandishi ukuu wa mkoa ama wilaya.
 



Waandishi uchwara kweli....eti Jay Dee haoni haibu kuachana na mumewe? Kwani aliolewa ili aridhishe jamii au kwa ajili ya nafsi yake? Bongo tuna mbali pa kwenda, mbona Magufuli atawatumbua waandishi wengi tu.
 
Licha ya unafiki kwenye ndoa hata mahusiano tu ya kawaida ili udumu unafiki unahitajika sana
 
Safi Sana jide,if it can't work you just part ways,huyo jamaa hajitambui,age is gone but he still behaves like a collage boy .
Ike Kauli yake ya kukojeza ilidhiirisha kwamba yeye ni mwanaume bwege.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…