Exclusive: Jay Dee afunguka, atoa sababu za kuitosa ndoa yake

Kwa hiyo Jide alimchukua G kinguvu? ina maana Jide alimlazimisha G kuwa nae?

 
Kwa kua uyu bibi ni msanii inabidi kila asemalo nalo tujiulize ni kweli au anaandika wimbo ivyo ana u-boost maana jana F.Mbasha kasema kama haya leo yeye.
 
Hakuna formula hiyo! Mume kaporwa kwani ni furushi la nguo au? Mume kamkinahi mkewe kamuacha! Unataka kusema wanawake wote walioachwa au kuachana na waume zao wameliwahi kunyang'anya waume za watu? Whether umenyanganya au ni original kuachwa kupo tu!

Hakuna mwanaume anaye weza kulazimishwa kuishi na mwanamke kama hataki! Ni wazi G aliachana na mkewake kwa matakwa yake si kusurutishwa!
 

Nimecheka sana...daah
 
Lady jd kwa jinsi alivyojijengea heshma miaka mingi hapa bongo
Siamini kama hayo maneno yanatoka kinywani mwake hata km ni kweli gadner kamfanyia hivyo vituko.
Duh! Hata komandoo jide?
Hakuna tena wanawake karne hii.

Ilikuwa zamani kuficha sasahivi Kuna sheria tunawavumilia sana sema hambadiliki. Big up kwake kaweka wazi yatawapa ujasiri wahanga wengine kufunguka
 
Mama D upo? Najua wewe ni memba humu, unajisikiaje tunagonga miaka 11 tukiwa watulivu na wenye amani? Nipo mbali sana nawe kijiografia ila moyo wangu upo kwako. Ndoa inahitaji 'kuwekeza mtaji mkubwa!'
 
Mama D upo? Najua wewe ni memba humu, unajisikiaje tunagonga miaka 11 tukiwa watulivu na wenye amani? Nipo mbali sana nawe kijiografia ila moyo wangu upo kwako. Ndoa inahitaji 'kuwekeza mtaji mkubwa!'

Huyo Mama D ndio mke wa mwanzo wa G?
 
yeye acha asepe,wenzake watacover,maisha yanaendelea,amuulize Wema kasepa Zari kacover.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…