Hakuna formula hiyo! Mume kaporwa kwani ni furushi la nguo au? Mume kamkinahi mkewe kamuacha! Unataka kusema wanawake wote walioachwa au kuachana na waume zao wameliwahi kunyang'anya waume za watu? Whether umenyanganya au ni original kuachwa kupo tu!
Kwa hiyo Jide alimchukua G kinguvu? ina maana Jide alimlazimisha G kuwa nae?
Eti aliingia nyumbani kwa mke wake wa kwanza akamkusanya kama furushi akasepa!
Hakuna mwanaume anaye weza kulazimishwa kuishi na mwanamke kama hataki! Ni wazi G aliachana na mkewake kwa matakwa yake si kusurutishwa!
Huo ndio ukweli....jide forced that relationship.....forced kila kitu kwa vile tu ana Pesa na ni celeb.....that's why she has that audacity ya kusema eti mm ndio nimemuacha..
Sina hakika sana lakini nadhani hata aliyemuanza mwenzake ni yeye(just saying maana wengine hamkawii kupanic)
No, sio kicheche lakini haka ka style ka wanawake kuondoka ka wanaenda sokoni vile kumbe ndo harudi tena na huku kufunguka namna hii katatuweka wanaume kwenye wakati mgumu sana mwaka huu.
sababu kuna uzi mwingine na flora mbasha ye aliondoka na elfu mbili tu,kama yupo vile, kumbe huyoooooooo mpaka leo
Well pole jide siku hazigandi na hili pia litapita
Sijaelewa alivyosema kaacha kila kitu inamaanisha ile nyumba,envoque na murano kamuachia gadner? Mbona gadner aliondoka kwenda kukaa m/nyamala akiwa na fuko la Rambo? Juzi Juzi jide alipiga picha na prof jay akiwa na gari zake zote mbili au wakati anaenda USA alipanda nazo kwenye ndege then akarudi nazo? Kama gari still anazo kwanini asema kwamba hajaondoka na kitu?
Sijaelewa alivyosema kaacha kila kitu inamaanisha ile nyumba,envoque na murano kamuachia gadner? Mbona gadner aliondoka kwenda kukaa m/nyamala akiwa na fuko la Rambo? Juzi Juzi jide alipiga picha na prof jay akiwa na gari zake zote mbili au wakati anaenda USA alipanda nazo kwenye ndege then akarudi nazo? Kama gari still anazo kwanini asema kwamba hajaondoka na kitu?
Duuu hakika dunia ina mambo mengi sana hasa linapo kuja swala la mahusiano..huyu dada pengine hakupendwa na G bali alikuwa anatumiwa tuu! Hizi tuhuma zina mdhalilisha sana G duu!
Lakini pia ni kweli ulio wazi Jide ana tatizo kubwa na kisaikolojia ni wazi kabisa hana furaha kabisa pamoja na kuachana na G maana tangu aanze kuonge hajawai kumaliza!
Hakika Jide nilikuwa namchukulia kama mwanamke jasiri sana na wakuheshimika lakini nilipo muona kakimbilia kwa mpiga ramli na kukubali kudanganywa hakika niliamini Jide ni mwanamke mwenye matatizo makubwa sana na ana hitaji msaada
Hata hivyo ni wazi alikuwa na haki ya kuachana na G.
Pengine ana maanisha ndani ya nyumba! Lakini nilivyo msoma Jide nimegundua ana tatizo kabisa!
Yaani walioko ndani wanataka kutoka.., tulioko nje tunataka kuingia..
Niliangalia kipindi cha mkasi alivyokuwa akihojiwa salama alijaribu sana kumchimba G ..lakini ..G hakukubali kabisa kuongelea hii issue .. jibu lake lilikuwa maswala ya jayde muiteni mumuulize mwenyewe. ..
Hayo ni majibu ya mtu mwenye busara. .. ya ndani ya ndoa yangeishia hukohuko. . Jay de hajafanya fanya vema. . Angekaa kimya tu. . Aendelee na maisha yake kama alivofanya mwenzie
Usiogope ndoa tamu sana
Tatizo la kisaikolojia na kichwa chake hakiko sawa kabisa!Tatizo gani Lawyer...