Exclusive: Matano aliyoyasema Alikiba kwenye interview na DSTV

Kumbe team kiba wapo watano tu,,hehhhe wengine visebengo tu

Inaonekana dina ulivyokuwa mtoto ulikuwa mchokozi saaaaana hehehehe manake unajua kuwagusa watu palepale kwenye moyo ...alafu Ninakusubiri Kule kwa kajala ujue?
 
Aaaaa nishawajua nyie mna mahaba kabisaaa mpaka mnaumwaa u know

yaani dina kiba nimeanza kumpenda mudaa ssna
toka njiwa kitambo sana
halafu my mom home anampenda kiba hatari yaani anamjua kiba kwa wasanii na salama jabir
so yaani mi na kiba wema ndo atatugombanisha nae
 
Inaonekana dina ulivyokuwa mtoto ulikuwa mchokozi saaaaana hehehehe manake unajua kuwagusa watu palepale kwenye moyo ...alafu Ninakusubiri Kule kwa kajala ujue?

Hhhhhhhhhaaaa unajua raha sana kumuona mtu anatokwa mapovuu hhhaaa sikua mchokozi sana zamanii kwenye utoto,,nakujako nakuja sasa hivii
 
yaani dina kiba nimeanza kumpenda mudaa ssna
toka njiwa kitambo sana
halafu my mom home anampenda kiba hatari yaani anamjua kiba kwa wasanii na salama jabir
so yaani mi na kiba wema ndo atatugombanisha nae

Hhhhaaaaaaaaaa haya bana nakutania tuuu
 
nyumba umalize toka 2007 mpaka leo huhamii, alijenga ya nini? hebu tuwekeeni hiyo nyumba maana hawa wasanii wa bongo kwa usanii ndio wenyewe.
 
nyumba umalize toka 2007 mpaka leo huhamii, alijenga ya nini? hebu tuwekeeni hiyo nyumba maana hawa wasanii wa bongo kwa usanii ndio wenyewe.

mbona kawaida hujawahi ona
mfano kajenga mvuti na labda mzazi wake ana nyumba kkoo kwa nini asikae katikati ya mji?ili kurahisisha mambo yake?!!
kwani kujenga ndo kuhamia....?!!
 
Le fisiz...chicken head...hahahahaaaaah

wabongo wana majungu sana mbona kawaida sana hivi nikakae madale huko wakati kuna sehemu ya kuishi kinoo...?!!!
hebu angalieni time factor bwana....!!!
 
Yaani huyu jamaa ana akili na busara mpaka kichwa kinauma.
Nyimbo zake za zamani safari hii zimeshafufuka tena huku street.
Yaani sisi Team kiba kindakindaki hatunaga mbwewe nyingi.
Prof. Mkiu.
 
wabongo wana majungu sana mbona kawaida sana hivi nikakae madale huko wakati kuna sehemu ya kuishi kinoo...?!!!
hebu angalieni time factor bwana....!!!

Hujawazoea tu mpenzi?wewe waache tu wazogoe...waulize wao wameshajenga?walichukua muda gani?....kwanza hawajui hata mfuko wa cement bei gani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…