wakulichomeka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 517
- 142
Heaven on Earth angalia star tv kuna futuh uchekee hua ananichekesha yule anaigiza kama Muha
mwaka jana alisema mjengo wake umekamilika atahamia soon na picha akapost kabisa raia tunachoshangaa ni leo anapokuja kusema nyumba yake imekamilika tangu 2007 which is which???
Heaven on Earth angalia star tv kuna futuh uchekee hua ananichekesha yule anaigiza kama Muha
Anaazima kwa Le Mutuz...Halafu sijui huwa anayapata wapi??
huwajui wasanii ni kama wanasiasa tu lol
Nilikua nishalala nikamkosa
Uongo mwingi LOL
Nawe siku hizi unalala mapema!!!
naingia kwa mkoloni usiache kuni mention kwenye umbea wenye manufaa
Haya poa ntakuitaa ila nna nyumba yangu napangisha mi staki kuishimo napenda upangaji sanaaa,,unaweza kupanga???
Hahahaaaa...nlikuwa sijakuelewaaa...
Hahaaaaaaaaaaa Jamaa_Mbishi lol wanichekeshaje... mie hapa na enjoy zangu naona kuna watu wanachukulia mambo serious lol
Mi nawasikiliza wote mbona na nipo poa yuHahahaa,kiba mwenyewe anamsikiliza Chibu,kazi kwako.
Hata Beyonce na Jay z wanasikiza nyimbo za watu wengine.Maana yao ni kuwa wana appreciate kazi za watu wengine na wanawaheshimu....Mi nawasikiliza wote mbona na nipo poa yu
Kama wanajua kua hawaelewi na wanahitaji kusaidiwa kiherehere cha nini ku-comment bila kuuliza ili wasaidiwe??!!Kusoma na kuelewa ni uwezo ambao sio kila mtu anaweza kuwa nao. Ni jukumu letu kuwasaidia wasioelewa jambo, wala tusiwakasirikie, coz nao ni wenzetu pia. Wakishaelewa watatulia.
Ova