Dansel
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 249
- 59
SECRECT: watakaoapply second round wanatakiwa kujaza only one courses na kozi zenye nafasi zimetolewa katika akaunti yako. Hivyo cha kufanya ni kuwahi kuapply ili usikute wenzako wamejaza, nafasi zikawa zimeisha,, mtu akijaza kama ametimiza vigezo anapata nafasi moja kwa moja,,, Wahi sasa usichelewe..