Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini MM kumbuka akina Majid Kikula wako pale NEC kwa zaidi ya miezi 6 wanaifanyia kazi hiyo kitu, huenda ndo wizi ukawa kiulaini zaidi. Butbig up to NEC kuja na hiyo kitu anyway
Lakini MM kumbuka akina Majid Kikula wako pale NEC kwa zaidi ya miezi 6 wanaifanyia kazi hiyo kitu, huenda ndo wizi ukawa kiulaini zaidi. Butbig up to NEC kuja na hiyo kitu anyway
tatito kura nyingi huibiwa vijijini, na nikisema vijijini namaanisha vijijini kweli i hope mmetembea mkaona vijiji vya tanzania ambako unakata pori kwa gari kama masaa mawili na ndo unakutana na kijiji mbele, hao watasindikiza hadi wapi? na huko uwezekano wa kuwahonga mawakala na polisi ndo mkubwa maana hata network hakuna eti mtu ataweza kutoa taarifa, maty God help us.