Exclusive: TANESCO's Audited Report from PPRA

Exclusive: TANESCO's Audited Report from PPRA

Invisible

JF Admin
Joined
Feb 26, 2006
Posts
16,286
Reaction score
8,380
tanesco-1.jpg




It's a blue Monday buddies!
 

Attachments

Mkuu haya ndo mambo..tuyaanike hapa, mwwaka huu hawa viongozi wetu watatushukuru saaana hapa JF maana tunawapa darasa la bure on what the term "transparency" really mean!

Asante sana invisible.
 
Mkuu haya ndo mambo..

Wanasema ni 'mwaka wa shetani'. Mambo mengi yametokea hii 2007. Kuja kuisha tutakuwa na orodha ndefu sana ya matukio ya kusikitisha, kushangaza, kutisha na hata kutukumbusha kuwa 2007 ulikuwa mwaka wa kipekee.

Bravo JF
 
patamu hapo.... Naendela kusoma hii braking news, sababu when the news brake out we brake in.
 
Invisible

Thanks for the music.
 
Wanasema ni 'mwaka wa shetani'. Mambo mengi yametokea hii 2007. Kuja kuisha tutakuwa na orodha ndefu sana ya matukio ya kusikitisha, kushangaza, kutisha na hata kutukumbusha kuwa 2007 ulikuwa mwaka wa kipekee.

Bravo JF

Ama kweli mwaka huu shetani na ujanja wake wote anaumbuliwa hadharani
 
aaaahhhh! kumbe, sasa napata jibu kwanini gharama ya umeme uko juu...
 
Nawapenda watu wote humu jambo wanaoendelea kutuwashia taa I can say you are the brightest light in the darkest nights. Jambo forums lets us not give up, Endelea kupigana mwishowe tutashinda
 
Siku ya kufa nyani miti yote huteleza, Mungu anampango wa kuokoa watu wake waliokata tamaa. Hawa jamaa watavuna walichukipanda. Hawawezi kumchezea Mungu, Haiwezekani mtu anakufa hivihivi kwa kukosa dawa hospitalini then wengine wanakula na kuacha vikioza.
 
..kumbe ndo maana mji umejaa ma-benz,range rover,na vx mpya kali kabisa kila kona!
 
aaaahhhh! kumbe, sasa napata jibu kwanini gharama ya umeme uko juu...

Hahaha, watu mnanifurahisha. Ina maana mshaisoma yote hii kitu? Mbona wengine huwa wanadondoka sahihi mambo flani bila kuumiza vichwa?

Yangu mie macho
 
Hahaha, watu mnanifurahisha. Ina maana mshaisoma yote hii kitu? Mbona wengine huwa wanadondoka sahihi mambo flani bila kuumiza vichwa?

..utaumizaje kichwa wakati ushaagizwa na nanihii uipitishe haraka ili wakina naniino waanze kazi[ulaji]!

..au haukuisoma vizuri mkuu?
 
Back
Top Bottom