Exclusive: Ukweli kuhusu Linda Beizudenhout na status yake

Status
Not open for further replies.

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Natumaini wote weekend ilikuwa poa na kama nilivyowaahidi last week nitaingilia kati beef la hawa wanawake kwa heshima ya Mr Mali na watoto zao pia.

Nimefanikiwa kumshawishi Linda aachane na malumbano haya amekubali lakini lazima tuweke record very clear na aliyedanganywa basi fact nitaziweka hapa.

1. Linda siyo mkimbizi.

2. Linda anatumia passport ya Tanzania.

3. Linda ana permanent resident permit ya US.

4. Linda alifanya tour ya Europe kwa kutumia Tanzanian passport na alipewa sheghen viza.

Nisikuchoshe wala usinichoshe tupate fact.

Nb: jina la Ishtaq ni la X wake ambapo taratibu za kulibadiri zilimpotezea muda akaondoka zake.

Hizi ni fact kwa wale wanajimu wanaowaita wenzao wakimbizi.

The end.
Dinazarde Heaven on Earth Avemaria lara 1 warumi and others.
 

Attachments

  • 1422856857831.jpg
    51.1 KB · Views: 4,328
  • 1422857000381.jpg
    57.2 KB · Views: 4,109
  • 1422857032302.jpg
    87.1 KB · Views: 4,133
  • 1422857062584.jpg
    111.4 KB · Views: 4,857
  • 1422857095537.jpg
    85.1 KB · Views: 3,920
  • 1422857132102.jpg
    141.9 KB · Views: 4,034
Kuachia personal information Hivi ndio nini sasa!!
 
Kuachia personal information Hivi ndio nini sasa!!

Information za Obama kila mtu anazijuwa, wewe kama document unayomiliki ni kikadi cha mpiga kura tu hapa utaweka nini.

Hapa ni JF tunacheza fair game na record zinawekwa clear na wale waliokuwa wanadanganywa hapa ndio ujiona wajinga na ndio maana watu makini hawana muda na blogs za watu kujipamba na kuattack wengine.
 
Sidhani kama uzi huu utamaliza hili beef.
Maana michambo itaanza soon.watanzania wanapenda kulumbana sana kuliko kukaa kimya

tayari ishaanza.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…